Wadada na kigezo cha kubeba mimba ili waolewe

Wadada na kigezo cha kubeba mimba ili waolewe

Hahahhaaaa! Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe lol!!
Shem utakuwa mhanga maana sio kwa kuchangamka huku.
Mhanga wann sasa ???? Nakwann niwe mhanga ??? Nmelelewa nababa namama .

Ninamaisha binafsi ambayo hata siku moja siruhusu kuumizwa nakiumbe aina ya mwanamke .

Muhanga wann sasa ???? Teheeeee Wenda sababu hunijui [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
 
Hivi nyie wanaume mnaolia kutegeshewa mimba condom hamzijui!! Unajijua hauko tayari kuwa baba wala kuoa basi kuwa responsible.
 
Kwauelewa wangu wa sheria ya ndoa ya tanzania ya mwaka 1972 kama ilivofanyiwa marekebisho kifungu cha 9 na 10 vinaongelea vizuri maana ya ndoa na aina za ndoa,kimaana ndoa ni muunganiko wa RIDHAA baina ya watu wawili baina ya mume na mke wakidhamiria kuishi pamoja mpk hitimisho la maisha yao..sijaona kigezo cha mimba au mtoto akisababisha ndoa ifungwe..imetokea mtoto apate haki na stahiki zake,hayo maswala ya ndoa ataisikia kwenye bomba
 
Hivi nyie wanaume mnaolia kutegeshewa mimba condom hamzijui!! Unajijua hauko tayari kuwa baba wala kuoa basi kuwa responsible.
Heeee jaman mtoa mada amezungumzia wanawake mnaoamin kubeba mimba yamtu ndo uolewe.

Mind you mimba nimakubaliano yamtu namtu.


Heeeeeeeee angalia usije kua singo maza wakujitakia,,au umeshakua ???
 
Hivi nyie wanaume mnaolia kutegeshewa mimba condom hamzijui!! Unajijua hauko tayari kuwa baba wala kuoa basi kuwa responsible.
Na kwanini wewe unajua kabisa upo siku za hatari unachanua miguu...???
 
Kuna demu wangu nimempiga bit asiniletee hiz habar za mimba yani sitaki kusikia kabisa. Mm mwenyew maisha yangu magum af mtu alete story za mimba. Yaan ntamchukia miaka 100. Hadi nitoboe maisha ndo ntamtafuta nipo tayar nikimbilie hata malawi

Kama hutaki mimba mwanaume una uamuzi either abstain or use condoms basi. Usikubali kusikia story sijui siko kwa siku za hatari Niko safe tu ogopa sana wanawake maana ni kama Delilah tu be careful sana kama hutaki mtoto. Nimeona baba angu mdogo maisha yake yameharibika kabisa kwa kuoa MTU kisa mimba.
 
Wenyewe wanaita "PMU".....(Pata Mimba Uolewe)


Sasa kwataarifa yenu tumegundua janja yenu...mtakuwa single mazas mpaka mashangae

Hivi unajua kuwa single mothers kuna tuathiri wote? Hebu jaribu fuatilia watoto wanaolelewa na single mother na athari zao kwa jamii! Usiwabeze sana at the end of the day wote tutaumia tu.
 
Kama hutaki mimba mwanaume una uamuzi either abstain or use condoms basi. Usikubali kusikia story sijui siko kwa siku za hatari Niko safe tu ogopa sana wanawake maana ni kama Delilah tu be careful sana kama hutaki mtoto. Nimeona baba angu mdogo maisha yake yameharibika kabisa kwa kuoa MTU kisa mimba.
Mm najua nikiwa na mahusiano na msichana basi ni mtu mzima. Na yy ndo anajua masuala ya mzunguko wake wa mwezi. Sasa sijui mimba za bahati mbaya zinatokea wapi
 
Hahahhaaaa! Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe lol!!
Shem utakuwa mhanga maana sio kwa kuchangamka huku.
Nilitegesha ndg[emoji134] [emoji134] [emoji134] yooo mawe
 
Unajua jinsi siku za hatari zilivyo korofi?!!!!!

Basi kabla haujaanzisha mahusiano wewe uloambiwa utumie akili kuishi na mwanamke basi tumia akili kweli kweli sio mihemko.
Hawajui
Andaa taulo[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mm najua nikiwa na mahusiano na msichana basi ni mtu mzima. Na yy ndo anajua masuala ya mzunguko wake wa mwezi. Sasa sijui mimba za bahati mbaya zinatokea wapi

Mwanamke kama Delilah akiamua kukushika atakudanganya tu ati siko kwa siku hatari wakati tayari asha plan mpk hospital atakayozalia, na gari atakayonunuliwa akishazaa na hata international school ya mwanae. ktk mambo ambayo niliwaambiwa vijana wangu never ever trust a woman akikuambia mambo ya siku za hatari coz mwanamke wanafikiria 10 years after atakavyofuja pesa zako kisa matumizi ya mtoto au ndoa ya lazima, wengine hata ana kuharibia na ndoa yako kabisa. So dear unless unazungumzia wanawake watu wazima ambao wako kwa menopause but the rest don't trust them unless ni mke wako period!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom