Wadada na kigezo cha kubeba mimba ili waolewe

Wadada na kigezo cha kubeba mimba ili waolewe

Donatila

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
8,273
Reaction score
25,297
Habari wakuu,

Kumezuka kajitabia ka wadads kubeba mimba ili waweze kuolewa.

Kijitabia hiki kimefanya wanaume kuoa tu hata kama hawakupenda kuoa.

Pia kimefanya wadada kuwa masingle mama.

Huku wakiacha lawama kwa wanaume waliowapa mimba kumbe chanzo ni wao.

Wadada acheni kujidhalilisha...ndoa huja kwa mpango wa Mungu...


NB: Sio wanawake wote
 
WAMBIE MAMAAA WAMBIEEEEEEE YAAAN WAMBIEEEEEE...

MAANA WANADHAN WAKITOA MIILI KAMA USHIKAUCHUMBA AU KUBEBA MIMBA NDO WATAOLEWA ..

aiseeeee boooooongo weeeeee .......nasiku wanaume wamejijua kweli ,,anakupa mimba alafu uyoooooo.
 
Wameishia kua Single maza,,,Ila hapa tusiiweke sana maana wengine wamekua single maza ,sababu walibakwa ,,sababu ndoa zao zilivunjika .

Sababu kuna mijanaume kazi yao nikukimbia majukumu .
 
Kuna demu wangu nimempiga bit asiniletee hiz habar za mimba yani sitaki kusikia kabisa. Mm mwenyew maisha yangu magum af mtu alete story za mimba. Yaan ntamchukia miaka 100. Hadi nitoboe maisha ndo ntamtafuta nipo tayar nikimbilie hata malawi
 
Mmh. Hivyo mnajiona wajaanja kuwapa watu mimba na kuwaacha kisa wanataka ndoa.

Tabia mbaya hiyo. [emoji124] [emoji124]
Nyie ndio mnao tegesha mimba ili muolewe...

Hivi kati ya mwanaume na mwanamke mwenye uwezo wa kuruhusu mimba au kutoruhusu mimba ni nani..??

Mwanamke kwa makusudi anafahamu kabisa yupo kwenye danger zone halafu analazimisha ku-do....kama sio kutega ni nini??

Acheni hizo bana
 
WAMBIE MAMAAA WAMBIEEEEEEE YAAAN WAMBIEEEEEE...

MAANA WANADHAN WAKITOA MIILI KAMA USHIKAUCHUMBA AU KUBEBA MIMBA NDO WATAOLEWA ..

aiseeeee boooooongo weeeeee .......nasiku wanaume wamejijua kweli ,,anakupa mimba alafu uyoooooo.
Mmmmmmmh!!! Huu uandishi shemeji nafikiri umesahau ishara hii[emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Bora hao.......kuna hawa wanaobeba ili kumgeuza mtoto kitega uchumi(child support)
Hawa ndo vilaza Wa dunia unamfos mtoto kuishi maisha ya mzazi mmoja kisa ujinga na uvivu ako.
Unakuta anatafta mwanaume mwenye hela zake anategesha......Mungu anawaona

Ila wanawake siku hizi hata shetani anawaogopa
 
Usawa huu mwanamme anayetembea peku anakuwa kashajinyang'anya leseni ya kusemahakutaka mimba mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom