ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Nakubaliana nawe. ..TENA MIMI NAONA NI ULIMBUKENI WA KUENDELEA KUWATAJIRISHA WENYE MAKAMPUNI YA MAGARI.... GARI NI LIABILITY. ...kazi kwako HEKIMA muhimuSio wote wenye tabia hiyo
Nakubaliana nawe. ..TENA MIMI NAONA NI ULIMBUKENI WA KUENDELEA KUWATAJIRISHA WENYE MAKAMPUNI YA MAGARI.... GARI NI LIABILITY. ...kazi kwako HEKIMA muhimuSio wote wenye tabia hiyo
Mkuu hata mimi nilihisi hivyo, lkn baadae nkajiuliza km muuzaje kwanini anikimbie? Na nilimpeka hadi kwao, kumbe kituo chake ilkua ashuke mori.Hofu yangu kwa mtoa mada ni vile alishuka kituo Africa Sana, kile kituo kile usikute mwenzio ndo alikuwa anaingia kazini pale.... AMBIANCE😉😉
Hizo ni gharama ndogo ukilinganisha mtu asie na gari. Mfano ukiwa huna gari hata kumtoa dem unajiuliza unaanza kuvizia bajaji za bei rahisi maana tax kama mnaenda mtoko lazma kama elfu 40 ikutoke kama sio 20. Bado unafkiria dreva bajaji mara akamatwe mshuke mtafute ingine mara mfike mnanuka petroli alafu ukiwa huna gari mwanamke hawi huru kuvaa vijinguo vyao vyakutia ashki ila ukiwa na gari yani unaweza mfata mtoto ukakuta kakuvalia kishetani mpaka route inabadilika mnaanzia kwanza hotelini. Yanikama ni nyumba itakuja tu ila gari kwa maisha ya sasa ni muhimu sana .Mi mwanzo niliwafurahia lkn nikaja kushtuka ni rahisi kuwapata lkn huwezi kuwagegeda bure, hata kama hakupigi mizinga mkubwa, kuna gharama za mafuta kumtoa kwao na kumrudisha, gesti nk.
Ujue mkuu kipindi sina gari nikiwaza gharama za kumpata mwanamke nimtakae nakua mpole, lkn baada ya kua na gari unaona gharama kama zinapungua lkn unasahau kwa wiki unawamudu hata wa2 wakati kabla ulimudu mmoja tuu tena kwa miezi na miezi, nimeshapitia haya mkuu nimeyaona.Hizo ni gharama ndogo ukilinganisha mtu asie na gari. Mfano ukiwa huna gari hata kumtoa dem unajiuliza unaanza kuvizia bajaji za bei rahisi maana tax kama mnaenda mtoko lazma kama elfu 40 ikutoke kama sio 20. Bado unafkiria dreva bajaji mara akamatwe mshuke mtafute ingine mara mfike mnanuka petroli alafu ukiwa huna gari mwanamke hawi huru kuvaa vijinguo vyao vyakutia ashki ila ukiwa na gari yani unaweza mfata mtoto ukakuta kakuvalia kishetani mpaka route inabadilika mnaanzia kwanza hotelini. Yanikama ni nyumba itakuja tu ila gari kwa maisha ya sasa ni muhimu sana .
KUNUNUA GARI UKIWA MZEE HAINA TOFAUTI NA KUSEMA UTAKULA NYAMA BAADA YA KUTEGUKA TAYA NI NGUMU SANAA HATA HIYO NYAMA HAUTAPATA LADHA YAKE
Kipindi sina gari nilikua nawapata wanafunzi na waschana wa level za kati mixer wafanyakazi wanaoanza kazi maofisini mnajenga mazoea mnajikuta mmekanyagana. Sasaivi nina GAREEE SIO GARI GAREEE. Nawachapa mpaka walionizidi na umri wakikaa kwenye bmw hawaruki yani ukimpakia mwanachuo ndo anaweza akajiharia kabisa mule ndaniUjue mkuu kipindi sina gari nikiwaza gharama za kumpata mwanamke nimtakae nakua mpole, lkn baada ya kua na gari unaona gharama kama zinapungua lkn unasahau kwa wiki unawamudu hata wa2 wakati kabla ulimudu mmoja tuu tena kwa miezi na miezi, nimeshapitia haya mkuu nimeyaona.
Kila mtu anaupeo wake wakufikiria...Sijawahi kuona mtu amekosa sehemu ya kulala lkn nimeshaona mtu anayetembea kwa miguu,jua Lake mvua yake.
Haya maneno yako unayoandika mitandaoni ni njia tu ya kujiliwaza.....Nyie ndio ambao mnaishia kutongozwa na waendesha bodaboda huko mitaani....Sasa kwa kuwa hufatwi na wenye magari basi ndio maana unabakia kusema "Eti sibabaishwi"!Ni ulimbukeni wa wadada. Siku zote kile usichokuwa nacho ndicho unachokitamani. Wadada wengi familia zao ni hoe hae, unaweza kukuta baba yake hata baiskeli hana, kwahiyo akiona unamiliki gari lazima akupapatikie hata kama ni gari la mkopo yy ataamini fedha kwako zimelala. Binafsi mwanaume mwenye gari hanibabaishi, ila yule mwenye vigezo navyohitaji haki ya nani wallah silali kwa ajili yake.
Wengine magari ya kuazima.Wanapigia round wanarudisha hivo unaweza hadaika mwisho wa siku ujute kumbe hata baiskeli hamilikiSasa utabebaje mwanaume asiye na gari, maana tunajua ukiwa na gari ina maana mambo yako poa.

maisaha hayana fomulaKila mtu anaupeo wake wakufikiria...
Haya mawazo ya watu wa kijijini na bila shaka ndipo ulipokulia huko.Mwanamme mjanja anajenga kama uwezo anao,Hakuna baba mwenye gari kuna Baba mwenye Nyumba,panda Daladala
lakini sio mpangaji kuliko kua na Gari umepanga au unakaa Kwenu..
wewe hupendi gar? basi ntakuja kukuchukua na baiskeliSio wote wenye tabia hiyo
bora uwe wazi kabisaaa. hakuna anaependa shida, sema watu huwa wanajifariji tu eti gari ya kazi gani? nataka nijenge kwanza nyoooo sema tu huna hela ya mkupuo kununua gari.We unapenda kupigwa vumbi? Unapenda kupigwa jua? Kama hupendi jua na sie hatupendi
mtuwache magari yalishakuwa fashion mm sikumbuki mwisho kutongozwa na mwanaume ambae Hana gari ni lini? sikumbuki kabisaa,Dah! Wakiona hivi basi balaa tupu, unaeza filisika eti!!
Inaelekea imekukita,samahani sana sikua na nia mbaya zaidi ya kuleweshana,na nilicho kiongea kua nyumba kwanza ni kila mtu ana mamuzi yake sijakupangia ufanye nini wala ununue,na kuniuliza mimi nna nini I wish ningekueleza kwa umri nilioHaya mawazo ya watu wa kijijini na bila shaka ndipo ulipokulia huko.
Wewe hapo ulipo una nini!? Msipende kupangia watu maendeleo. Mtu ametafuta pesa kwa kadri anavyojua yeye halafu kwenye kupanga maendeleo ndio kinakuja kijitu na kusema, "Jenga kwanza".
Wewe kama unaamini gari sio dili basi elewa kuwa wenyw magari ndio hao hao wenye nyumba....kama nimeweza kununua gari basi pia nitaweza kujenga na kadhalika na kadhalika.
Huu utoto wa Nyumba kwanza kisha gari baadae mara nyingi unazungumzwa na watu hoe hahe ambao hawana mbele wala nyuma. Mimi nimesoma zangu na kazi nzuri nianze kupanda daladala ili iweje sasa!? Si upuuzi huo.....Yani sifiki mahali ninapotaka bila kupitishwa kwenye kila kituo!?
Hata kukopesheka nako ni kipimo cha mtu kuwa na uwezo kifedha. Mwenye kipato kidogo hawezi kupeshwa hela nyingi za kununua gari. Hakuna tajiri asiyekopaMengine ni ya mkopo dadangu usiamini kila ukionacho.Hivi hii ina apply hata kwasisi wamiliki wa usafiri wa umma (daladala)ama ni kwa private car tu?
Hata kwa miguu tuwewe hupendi gar? basi ntakuja kukuchukua na baiskeli