Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,661
Sawa mkuu, lakini siyo wote wapo kama unavyodhani, katika maisha kila Mtu anahitaji Gari na huo ndiyo ukwel, bila kujali ataitumiaje?, hapo sasa ni maamuzi ya mwenye Gari, kwa mfano kuna mwingine ananunua kwa matumizi ya kumrahisishia katika inshu zake, lakini hapo hapo Wanawake wanajigonga kinoma, na kama mjuavyo Wanawake wengine mapozi hiyo sasa ndiyo kama kivutio chao, na kiukweli Mwanaume rijali hiyo ndiyo fursa ya kuwanasa, kwa hiyo inakuwa Jiwe moja linauwa Ndege wawiliNa hichi kinachowatia vijana wengi umasikini wa kiakili na kimwili........yaani kila siku kijana unakuwa mgeni wa nyuchi za wanawake........mpaka unalazimika kuishi kwenye mitazamo yao na kuwaridhisha wao.......
Sasa sijui siku wanawake wakianza kuvutiwa na wanaume wenye makalio makubwa na wewe utaenda kujidunga shindano....ili uendelee kuwapata na kukidhi haja zao......
Vijana jitahidini kuishi kwenye mistari yenu ya maisha......pia msitpanye fedha kwenye mambo yasiyo na tija.....bora kuwekeza kwenye miradi ya muda kwani wakati ni ukuta na ujana ni maji ya moto......