KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,758
- 39,494
Sawa mkuu, ila kama umesoma post yangu vizuri utanielewa kua sikununua gari kwa sababu ya kupata wanawake bali tangu utotoni nilitamani kumiliki gari na ndicho kilichotokea kwangu,
Ila nikiri gari ni hatari sana kwa maendeleo ya kimaisha kiujumla, mwanzo nilihisi napendwa mimi lakini nikaja kushtuka kumbe lapendwa gari, maana kila mwanamke unaevutiwa nae hakupi shida.
Sa hivi "ngashtuka" siwaendekezi tena,
Basi kijana wacha mara moja hiyo tabia.....maana itakuletea majuto....
