Wadada mna nini na magari?

Wadada mna nini na magari?

Ni ulimbukeni wa wadada. Siku zote kile usichokuwa nacho ndicho unachokitamani. Wadada wengi familia zao ni hoe hae, unaweza kukuta baba yake hata baiskeli hana, kwahiyo akiona unamiliki gari lazima akupapatikie hata kama ni gari la mkopo yy ataamini fedha kwako zimelala. Binafsi mwanaume mwenye gari hanibabaishi, ila yule mwenye vigezo navyohitaji haki ya nani wallah silali kwa ajili yake.
Kwa hiyo wakaka kwao ndo wana hela?
 
Haya baba mwenye gari, usiwe unaazima gari bwana tutakukimbiaa
 
Naona watu wanakuja PM jaman musije kunipeleka TRA waje kunipekua kujua income Yangu hyo Lambhorgini sio yangu me nimenogesha Thread aiseee bado cjafika huko ndo kwanza npo na Mark X
Hiyo ulonogeshea thread sasa ndio gari, mengi hapa mjini ni usafiri tu.
 
mwanamke ni kiumbe wa ajabu.Mwanamke anatamani kitu ambacho kuwa nacho na kama akipata hicho kitu bado atatamani kingine ambacho pia hawezi kupata.mwanaume usikubari kubadlika(kuwa fake coz of chicks)
 
Yani huyo mtu mzuri sana, wabongo mmezoea unafiki kitu ambacho sio kizuri hata kdg. Huyo anataka gari lako na amekua wazi, shida i wapi mpk uje kuuliza huku?
Ni kutaka kujua zaidi tuu mkuu kama kweli kua na gari kunaongeza point ya kukubaliwa na wanawake au ni ulimbukeni wangu na gari langu.
 
Kwa hiyo wakaka kwao ndo wana hela?
Wamezungumziwa wanawake, laiti wangezungumzia wanaume tungeshusha mistari kuwahusu, maana hao ni kaka zetu tutokako ndiko watokako iwe ktk familia masikini au tajiri.
 
Na hichi kinachowatia vijana wengi umasikini wa kiakili na kimwili........yaani kila siku kijana unakuwa mgeni wa nyuchi za wanawake........mpaka unalazimika kuishi kwenye mitazamo yao na kuwaridhisha wao.......
Sasa sijui siku wanawake wakianza kuvutiwa na wanaume wenye makalio makubwa na wewe utaenda kujidunga shindano....ili uendelee kuwapata na kukidhi haja zao......

Vijana jitahidini kuishi kwenye mistari yenu ya maisha......pia msitpanye fedha kwenye mambo yasiyo na tija.....bora kuwekeza kwenye miradi ya muda kwani wakati ni ukuta na ujana ni maji ya moto......
Mkuu barikiwa kwa ushauri mzuri
 
FB_IMG_1470993144370.jpg
 
NILIKUWA NASUBIRI COMMENTS ZA NIMPENDE NANI NA EVELYN.....HAPO JBU KWA KWEL UTANYAMAZA TU....HUYO DADA NASHINDWA KUMDEFINE HATA HASIRA YA KUMOMOA KUMGEGEDA AF UMUACHE NAYO INATOWEKA TU...MAANA UBONGO UMEKUWA FINYU VIBAYA
 
Back
Top Bottom