mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,698
- 9,051
mpenzi wa kutoa hela?
Hela makaratasi tu baby hasara roho
mpenzi wa kutoa hela?
hujui ijumaa ijayo ni siku gani....
Hivi hapo kwenye hayo maneno niliyoyakoleza umemaanisha nini?
Na wanawake wa hivyo huwa mnawatoa wapi nyie? Mbona sisi wengine huwa hatukutani nao hao wa hivyo?
What is it with us? Do we exude a no nonsense persona or what?
Wakati mwingine si kila anayekuomba hela anamaanisha, wengine ni njia ya kukukimbiza pengine hukufikia vigezo vyake.
Mbona thread za wakaka kulalamika leo zimekuwa nyingi
Kwanini isipigwe mswaki ikaendelea kutumika hiyohiyo? Kwani kutumbukia kwenye maji ndio haitengenezeki? Nyambafu jizi hilo. Akamwambie alompa yamwanzo. Kwani ww mkorea?
kuna mdada nimeanzisha naye uhusiano kama wiki moja iliyopita. ni mtu mwenye ajira yake, mshahara analipwa. siku tumekutana kwa first date alikuja na rafiki yake tukanywa na kula aafu tukaagana. mkononi alikuwa na simu ya kama laki 5 hivi. Siku tatu baadaye nikampigia simu hapokei aafu akanitumia msg "simu imetumbukia kwenye maji hi yo siwezi kupokea". Jana kanambia anaomba mimsaidie ili apate mawasiliano, nikamwambia ntanunua ya elfu 50 ili awepo hewani anapotafuta nyingine. Cha ajabu ananambia anataka kama ile ile hivyo nimwongezee laki 2 nyingine ataongeza! Nikacheka kimya kimya huku nikishangilia kusave 50 yangu! Jamani mishahara yeti ina bajeti yake na so kwa ajili deny! na wengine tunataka kuwa na watu wa kudumu nao,mnatutisha na hizo harakati zenu za usakaji was hela! Tipelekane taratibu jamani, looh!
Hii stori umepika omba msamaha kwa jf fasta au nikuumbue sasa hivi kwa kuwa nakufahamu nje ndani.kuna mdada nimeanzisha naye uhusiano kama wiki moja iliyopita. ni mtu mwenye ajira yake, mshahara analipwa. siku tumekutana kwa first date alikuja na rafiki yake tukanywa na kula aafu tukaagana. mkononi alikuwa na simu ya kama laki 5 hivi. Siku tatu baadaye nikampigia simu hapokei aafu akanitumia msg "simu imetumbukia kwenye maji hi yo siwezi kupokea". Jana kanambia anaomba mimsaidie ili apate mawasiliano, nikamwambia ntanunua ya elfu 50 ili awepo hewani anapotafuta nyingine. Cha ajabu ananambia anataka kama ile ile hivyo nimwongezee laki 2 nyingine ataongeza! Nikacheka kimya kimya huku nikishangilia kusave 50 yangu! Jamani mishahara yeti ina bajeti yake na so kwa ajili deny! na wengine tunataka kuwa na watu wa kudumu nao,mnatutisha na hizo harakati zenu za usakaji was hela! Tipelekane taratibu jamani, looh!
Mbona thread za wakaka kulalamika leo zimekuwa nyingi