miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Hahaaa mmmhhh
kwani wewe ni mpenzi?
Hahaaa mmmhhh
mkuu natumia mchina, kuna maneno yanajiedit yenyewe hivyo kuwa tofauti na nilichokusudia
huku kwetu hiyo pesa ni lori tatu za mawe
kwani wewe ni mpenzi?
Mpenz wa nn?
hahaa wanatafuta sababu mapemaaaaaaa
Mbona thread za wakaka kulalamika leo zimekuwa nyingi
wee mpare nn? kama vp mpige chini ubaki single uache kucomplain ubaki na hizo lori tatu za mawe hahaha
Shebeneza is back in action,nilitupwa lupango kwa mwezi mzima kwa kuleta hate posts against women mwezi jana,leo ndo nimeachiwa huru na leo hii hii mapost ya macharii kulalamika ni mengi balaa,so,mzimu wa shebeneza ni balaa!
msitufanye tukawa tunatafuta wale wanaopanga foleni. wao ni rahisi kuliko kuwafuga nyie
Na nyie wakaka mmezidi kulialia
Msome alama za nyakati
Saa zingine mwanamke akiwa anakupiga mizinga mikubwa maana yake hakutaki anakutafutia sababu, au hamjui akufukuzae hakwambii toka???