wadada mmezidi sasa, khaa!

wadada mmezidi sasa, khaa!

Mbona thread za wakaka kulalamika leo zimekuwa nyingi

shida na matatizo yamewajaa! mambo yao yangekuwa safi wasingelialia.!!! mie naona strategy yetu ya kuwakimbiza kwa vibomu imefaulu. wanatoka nduki wenyewe mpaka wanataka kujikwaa.
 
Back
Top Bottom