Zamani kulikuwa hakuna ALWAYS!........ :A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
always ndio andasketi?!?!?
shemeji viipiii:lying:
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums