Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila story
ukisimulia eti "ilimkuta
rafiki yangu", ukitoa mfano
"rafiki yangu", ukiomba
ushauri, unajifanya
unamuombea shost ako,,
ebu kuwen smart na
mjiamini, hivi hakuna
yanayowakuta wenyewe?
Kila m2 "kuna rafiki yangu
alifanya hivi na vile" wewe
je?
hana tofauti na yule anayepima kukua kwa uchumi wa nchi na kuongezeka kwa foleni ya magarikinachokushangaza kitu gani? Ndivyo unavyoupima ugumu wa maisha hivyo? Pole sana
kinachokushangaza kitu gani? Ndivyo unavyoupima ugumu wa maisha hivyo? Pole sana
kwa muandiko wakeHivi utamjuaje kuwa mleta mada ni msichana au mvulana?
wengi tu huwa wanajichanganya humu.
we umeona wadada tu sio??
mbona unalazimisha nione tofauti na hali ilivyo, siyo JF tu hata ktk maisha ya kawaida..naona ushajiwekea mipaka ya kufikiri.