Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
hahahahaUkiambiwa, Sorry my nikuambie kitu...? Zima simu na utoe betri na usiwashe simu mpaka saa 24 zipite.
hahahahaUkiambiwa, Sorry my nikuambie kitu...? Zima simu na utoe betri na usiwashe simu mpaka saa 24 zipite.
[emoji23][emoji23] why? Na nyie hakuna mume, ishi na pesa zakoMwanamume hataishi na mwanammke bali na mali zake binafsi
Poaduuuh!! P ndio nini ss?
Aisee
Hahaha, me huwa nawaambi nipo kwenye rough road ntakuchek baadae, inakua ndo imetoka hiyo.Ukiambiwa, Sorry my nikuambie kitu...? Zima simu na utoe betri na usiwashe simu mpaka saa 24 zipite.
jaman my,tusameheni tumezoea tu kuuta hvy,,, sawa myImekuwa kawaida mabinti kuwaita vijana "MY" wakati wa kuchat, either WhatsApp, Facebook, Sms n.k. Sasa mi najiuliza hii sentesi nusu "My..." maana yake nini?
Ni maneno gani huwa yanaachwa bila kumaliziwa hapo mbele ya "My..."?
Sijui wengine mnajisikiaje kuitwa " My..., ila Binafsi huwa sipendi kabisa kuitwa "My" ovyo ovyo, maana unafanya nijiulize maswali mengi kichwani, My, nani sasa? My husband? My boyfriend? My love? Au my nini? Hili neno liko romantic kidogo hasa linapotamkwa kwa jinsia tofauti! [emoji23][emoji23]
Sasa kwa nini wadada mnapenda kutuita "My..."?
Na kwa nini huwa mnaishia hapo My? Si muwe mnamalizia mfano my friend, au my babe n.k, [emoji1]
Na je wanaume wenzangu mnajisikiaje mnapoitwa na wadada My?
ndio tunaishi[emoji23][emoji23] why? Na nyie hakuna mume, ishi na pesa zako
OkeyNahisi Mwanamke akiniita My automaticaly nafikiri she is not Matured enough to Engage with me!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]He he heeeee wenzio huwa wanamaanisha "wangu" ..... usiniulize zaidi lakini ndio katika hali ya kila mtu kuonekana amepitia kiingilish my😉
huu sasa uchokozi binamu....Kwani hupendi my?
Nilikua na stress,lakini hii post imenifanya nicheke,loh jf haimwachi mtu salamaMy wereva