Mhh hili wenge .Imekuwa kawaida mabinti kuwaita vijana "MY" wakati wa kuchat, either WhatsApp, Facebook, Sms n.k. Sasa mi najiuliza hii sentesi nusu "My..." maana yake nini?
Ni maneno gani huwa yanaachwa bila kumaliziwa hapo mbele ya "My..."?
Sijui wengine mnajisikiaje kuitwa " My..., ila Binafsi huwa sipendi kabisa kuitwa "My" ovyo ovyo, maana unafanya nijiulize maswali mengi kichwani, My, nani sasa? My husband? My boyfriend? My love? Au my nini? Hili neno liko romantic kidogo hasa linapotamkwa kwa jinsia tofauti!
Sasa kwa nini wadada mnapenda kutuita "My..."?
Na kwa nini huwa mnaishia hapo My? Si muwe mnamalizia mfano my friend, au my babe n.k,
Na je wanaume wenzangu mnajisikiaje
mnapoitwa na wadada My?
kumbe! Nami pia nilikuwa sijui maana. Umenifungua."My" wengi wakimaanisha "wangu"
Unasemaje my?
Unasemaje wangu?
Ndo watoto wadigital hao najaribu kwenda nao sawa mdogo mdogo
Hahahahaha nambie mpenziBado tuko kwenye 'mpenzi'
Kuna jamaa mmoja ananikera sana kila tukichat hakosi kuniita bestlinanikera sana
huwez amini na wanaume pia wanalitumia... hasa kwa lugha ya kiswahili....."wangu"
Nahisi Mwanamke akiniita My automaticaly nafikiri she is not Matured enough to Engage with me!Ukiitwa unajiskiaje au unahisi nini? Kakudharau, kakutusi au unafikiriaje?
umeshasema ni wadada wa kileo.....sasa walevi wapi kujitambua?hawa wadada wakileo, wanazingua kweli kweli,
p.....mb.v uuuu
sijui watu mpaka kufikilia ivi,nielekez nami pia niki comment nipat tu maneno twa iviMimi hilo halinisumbui kam halina uhusiano na pesa yngu..
Mwanamume hataishi na mwanammke bali na mali zake binafsiMtu hataishi kwa pesa za kupewa tu, ila kwa kupambana na hali yake mwenyewe,
duuuh!! P ndio nini ss?Hahahah, au "P"