Wadada, kwa nini mambo haya yameshamiri siku hizi?

mi am quite broke saivi,na yeye awe broke?in the name of love,HAPANA

Siku hizi kila kitu pesa pesa hadi inakatisha tamaa.
Kwa mwendo huo ndio maana watu wanaangalia physical beauty unategesha ulimbo wa pesa unajipigia
 
huwa nawaambia wanaume wenzangu tafuteni pesa . wanawake wa sasa wameweka tamaa mbele. Pesa ndio Kila kitu kwa Hawa viumbe wa usiku hizi. Ukiwa nazo utafanya /utaamua unachotaka na utaheshimiwa.

Tafuteni pesa kwanza na hayo yote mtayapata.

money, power and respect.

Mkuu pesa inatafutwa kwa hali na mali lakini ni kwa matumizi ya kimaendeleo. Hawa wenzetu wanaendekeza matumizi ya kijinga jinga. Mwanaume ukija kufa huna nyumba hakuna atakayetoa sifa ya kwamba ulikuwa unawanunulia vitu vimada wako. Kila mtu atalaumu kwamba ulikuwa huna hata nyumba, kazi yako ilikuwa kufanya starehe. Hata vimada wako nao watakucheka.
 
Dah. Polen sana. Ila money is not the first priority in a relatship however is part of. So if u have give it to her. Kama huna sit down muongee. After that utajua what kind of woman is that. Easy like that

hehehhe my dear,siku ukishaingizwa kingi maybe u wil know better
nlishakuwaga na ths guy,ukimuona utasema he is well off vibayaa mno,na me nkajua hvo,mapema tu kwny uhusiano akanieleza his life is not straight yet na kweli by then we were both in school japo ye mfanyakazi,mi nkaona sawa,and i was happy he wasnt faking anything,mtoto wa kike nkaendelea nae and i wasnt expecting anythng from him,..he smtymz ran out of cash and i had to supplement vitu mi sikuona shida,but alikuja kunitosa kweupee na kunisumbua sana badae and i wondered,I TOTALLY DONT WANT TO DATE A BROKE GUY EVERRRR AGAIN,mana ni wasumbufu tuuu,af saiv unambie nimdate mtu kiholela tu in the name of love,NO,LAZMA NIANGALIE POTENTIAL YA MTU KWANZA
 
i dont drink pombe mkuu,
ntasoma upepo na mtu mwenyewe,ndoa mbona ndo gia yenu kutupata kumbe uongo,

Ukiona nakutangazia ndoa siku za mwanzo na wewe ukaingia kingi utakuwa mzembe sana au na we umeamua kunilia hela huku ukijua hamna chochote. Kuna wanaokuwa serious na uhusiano na wanataka kujenga familia ila mnawakatisha tamaa kwa namna mnavyowakamua
 
Ukiona nakutangazia ndoa siku za mwanzo na wewe ukaingia kingi utakuwa mzembe sana au na we umeamua kunilia hela huku ukijua hamna chochote. Kuna wanaokuwa serious na uhusiano na wanataka kujenga familia ila mnawakatisha tamaa kwa namna mnavyowakamua

hahah,hyo ndoa inshaallah kama ipo ipo tu,..kwani na sie unafikiri hatukatishwi tamaa na vitendo vya kihuni vya some men,huyo anaetafta ndoa mwnyw kashachakaza watoto wa watu wakutosha,anategemea nini,
 
Mkuu vijana tunaogopa hata kuoa kwa kuogopa gharama za kumgharimia yeye tu! Sie wafanyakazi mshahara wote utaishia huko. Unakuta mlivyoanza ni kawaida tu! Unajua first date huwezi ukamuita aje kwako. Mtaenda sehemu mkala na kunywa juice. Sasa atataka hayo ndio yawe maisha yenu siku zote. Na miaka inavyozidi kwenda anauliza utanioa lini? Au anabeba mimba ili umuoe! Mi ntakuoaje na we upo kisela zaidi? Na baadaye zitakuja lawama za umenichezea na kuniacha, loh! Na hawa waliobahatika kuingia na chuoni ndio balaa kabisa. Yaani maisha ya uchumba siku hizi huwezi kuta mdada anakushauri kuhusu kununua kiwanja, kujenga au kuwekeza. Sana sana atakushauri ni ununue gari basi.

Usiogope mdogo wangu mwombe Mungu atakupa ambaye atakuwa tayari kukaa na wewe hata kama mkila ugali na chumvi. Na wanawake wa namna hiyo wapo wengi tu, hao wabovu wachache wasikukatishe tamaa hata kidogo.
 
hehehhe my dear,siku ukishaingizwa kingi maybe u wil know better
nlishakuwaga na ths guy,ukimuona utasema he is well off vibayaa mno,na me nkajua hvo,mapema tu kwny uhusiano akanieleza his life is not straight yet na kweli by then we were both in school japo ye mfanyakazi,mi nkaona sawa,and i was happy he wasnt faking anything,mtoto wa kike nkaendelea nae and i wasnt expecting anythng from him,..he smtymz ran out of cash and i had to supplement vitu mi sikuona shida,but alikuja kunitosa kweupee na kunisumbua sana badae and i wondered,I TOTALLY DONT WANT TO DATE A BROKE GUY EVERRRR AGAIN,mana ni wasumbufu tuuu,af saiv unambie nimdate mtu kiholela tu in the name of love,NO,LAZMA NIANGALIE POTENTIAL YA MTU KWANZA

Potentiality ya mtu huonekana kwa shughuli za kimaendeleo na mawazo yake kichwani. Haiônekani kwenye matumizi ya kukuhonga wewe na kunywa bia. Ndio maana wengi mnadondokea kwa waume za watu na kuwa nyumba ndogo. Hamna mnachokifikiri chenye kuunganisha jana leo na kesho
 
Mada nzuri sana...sasa hivi tuna kizazi ambacho kinatazama maisha tofauti sana....unaweza kumwita mwanamke...nyumbani kwako...ndani una unga mchele, samaki ,kuku na kila kitu....lakini mkashangaa mnaenda kununua chips....badala ya kutake hardly 15 min kupika..ila wakati mwingine inategemea MISINGI ya mahusiano yenu

aisee, kazi mnayo haswa, lakini mbona nina imani wadada wanaojitambua wapo sana, ila nyie mnawataka hao masista duu wa kukutana nao kwenye mastarehe huko ndio mnawaona wajanja, lazima ile kwenu.
 
hahah,hyo ndoa inshaallah kama ipo ipo tu,..kwani na sie unafikiri hatukatishwi tamaa na vitendo vya kihuni vya some men,huyo anaetafta ndoa mwnyw kashachakaza watoto wa watu wakutosha,anategemea nini,

Hao walichakazana, tatizo mnafikiriaga upande wenu tu kwamba ndio mnaachwa. Wanaume huwa wanaumia kimya kimya hawatangazi kuachwa! Na wengine anaoachana nao ni kwa sababu wametofautiana interest na wachunaji. Nikishaona uko kimatumizi zaidi nasepa mapemaaaa na we unaanza kulalamika nimekuacha.!
 
Usiogope mdogo wangu mwombe Mungu atakupa ambaye atakuwa tayari kukaa na wewe hata kama mkila ugali na chumvi. Na wanawake wa namna hiyo wapo wengi tu, hao wabovu wachache wasikukatishe tamaa hata kidogo.

Mkuu hawa dada zetu siku hizi wanatuogopesha. Wakati mwingine unatamani kuwa na mtu ambaye mtafurahia maîsha ya upenzi, uchumba na baadaye ndoa lakini ukifikiria gharama zao unaogopa.! Kuna kipindi nilikuwa nimepata semina ya pesa ndefu tu na niliporudi na mshiko nikamshirikisha niliyedhani ndio utakuwa ubavu wangu ili anipe mawazo nini tufanye. Plan zake sasa, loh! Yaani niliamua kimya kimya kwenda kununua shamba la miti ya mbao!
 
Hao walichakazana, tatizo mnafikiriaga upande wenu tu kwamba ndio mnaachwa. Wanaume huwa wanaumia kimya kimya hawatangazi kuachwa! Na wengine anaoachana nao ni kwa sababu wametofautiana interest na wachunaji. Nikishaona uko kimatumizi zaidi nasepa mapemaaaa na we unaanza kulalamika nimekuacha.!

Nishawahi kuwa a girl of less matumizi kwa my man,me najitaftia pesa angu,nkajua ntakuwa exceptional lakini nkaambulia kuachwa,ya kazi gani tena,siwezi tumia similar method nikaexpect different results,
hadi nilikuwa nakumbuka my ex bf's,mwingine had alikuwa ananiambia nimuombe hela,mwingine nikitaka hela ananiambia walau nimwambie a week before na yote nliowahi kuomba alinipa na smtym bila hata kumuomba,na hakuwa msumbufu,Broke man sasa ,aaah,sina hamu sijawahi pewa hela yake hata moja,na sikuiomba lakini,still bado akanitosa,aaah,NOT AGAIN,i learnt my lesson already...sipendi mwanaume mkono wa birika,me kutoa vyangu sio tatizo,will insure myself effectively ths tym,
 
aisee, kazi mnayo haswa, lakini mbona nina imani wadada wanaojitambua wapo sana, ila nyie mnawataka hao masista duu wa kukutana nao kwenye mastarehe huko ndio mnawaona wajanja, lazima ile kwenu.

kweli kabisaa
 
hapo nilipobold umenena vema mkuu big up!



Mada nzuri sana...sasa hivi tuna kizazi ambacho kinatazama maisha tofauti sana....unaweza kumwita mwanamke...nyumbani kwako...ndani una unga mchele, samaki ,kuku na kila kitu....lakini mkashangaa mnaenda kununua chips....badala ya kutake hardly 15 min kupika..ila wakati mwingine inategemea MISINGI ya mahusiano yenu
 
Potentiality ya mtu huonekana kwa shughuli za kimaendeleo na mawazo yake kichwani. Haiônekani kwenye matumizi ya kukuhonga wewe na kunywa bia. Ndio maana wengi mnadondokea kwa waume za watu na kuwa nyumba ndogo. Hamna mnachokifikiri chenye kuunganisha jana leo na kesho

ni kweli,na mkweli au muongo utamjua ukishakaa nae sio kwa kuangalia tu,KWANI UNAFIKIRI WANAWAKE WOTE TUNAWAZA HANDBAG TU????we also have a lot in mind,..and lazma nichague the best i can get,..
 
Ha,ha,ha. Mkuu mpaka sasa tunaogopa hata kuingia kwenye uhusiano na watu waliopitia higher learning. Yaani ni wachunaji balaa.

Pole... Ila wapo ambao sio wachunaji...!!

Wakati mwingine nyie ndio mnasababisha wawe wachunaji.... Huwa mnakuja na gia kubwa saana..!
 
mkuu inategemea na mtu hali yake iko vp kwa mfano we mwenyewe km c husband material utake wife material wapi na wapi???? tafuta mtu wa type yako mkuu!!!
 
hapo nilipobold umenena vema mkuu big up!



Mada nzuri sana...sasa hivi tuna kizazi ambacho kinatazama maisha tofauti sana....unaweza kumwita mwanamke...nyumbani kwako...ndani una unga mchele, samaki ,kuku na kila kitu....lakini mkashangaa mnaenda kununua chips....badala ya kutake hardly 15 min kupika..ila wakati mwingine inategemea MISINGI ya mahusiano yenu
 
Siku hiz kumpata mwenye mawazo ya kujenga ni ngumu.
Wote wapo kuchuna zaid

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom