brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,297
Naona hapa umeongelea zaidi maisha ya Insta,utakubali tu hata wanaume wanafanya hivyo pia...Binafsi nilikua nagombana sana na gf wangu aliyepita ambaye hakuwa msiri kwenye personal life. Kwenye instagram yake zilijaa sura picha zangu mi sikupenda ila yeye aliniona mimi ni kama old fashioned. Kila mara nilimsihi kutojiexpose kwa watu maisha binafsi lakini hakuona kama nilikua namweleza jambo la maana.
Ntakupa mfano, familia yake yote, baba, mama, dada, kaka, young sis wake wote aliwaweka huko. Akisafiri iwe kwa bus au ndege atapiga picha aiport au ndani ya cabin na kupost. Yaani mtu anajua life yako leo upo wapi na unafanya nini, what for? Alifikia hatua ya kutaka kuniblock kisa nambania uhuru.
Tulipoachana akadelete picha zangu zote. Alipopata bwana mwingine mchezo ulikua uleule kama ilivyokua kwangu. Bahati mbaya huyu bwana mpya hawakuchukua muda mrefu wakaachana pia, picha zote kafuta instagram.
Badilikeni bwana, wanaume wengi hatupendi show offs ukiacha visharobaro ambavyo hela havina kazi kuuza sura mitandaoni.
A gentleman has no whether.
Hata hivyo hio app is for sharing your daily pics for memo,sioni tatizo hapo...tatizo lipo kwa huyo ex wako kuweka pics za kila mwanaume anaedate nae,sasa huo ni utoto ipo siku atakua ataacha
Hakuna shida mtu akipost pic yupo airport,au kwa bajaji au lunch sehem flani ndio maana halisi ya instagram if am not mistaken,tatizo ni mtu kutuonyesha fake life like akaazime gari lisilo la kwake au Nguo ili tu apost na ye tuone ni wa status flani hizo ndio show off za kitoto
If your gf alikuwa anapost pic zake za ukweli hakuna tatizo hapo japo kupost familia pia sijamwelewa