Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

Hahahahahah yaani hadi uhame mtaa ndonitaacha kukusimulia, alafu wewe mbona uliniambia baby wako kakununulia baiskel used sikusikia wivu
Sasa baiskeli na lamborghini ni sawa na wewe. Nisimulie tu, utaamka siku nimeshamkwapua baby ako. Unadhani me ndo sipendi ku-push lambo eeh?
 
Naona hapa umeongelea zaidi maisha ya Insta,utakubali tu hata wanaume wanafanya hivyo pia...
Hata hivyo hio app is for sharing your daily pics for memo,sioni tatizo hapo...tatizo lipo kwa huyo ex wako kuweka pics za kila mwanaume anaedate nae,sasa huo ni utoto ipo siku atakua ataacha
Hakuna shida mtu akipost pic yupo airport,au kwa bajaji au lunch sehem flani ndio maana halisi ya instagram if am not mistaken,tatizo ni mtu kutuonyesha fake life like akaazime gari lisilo la kwake au Nguo ili tu apost na ye tuone ni wa status flani hizo ndio show off za kitoto
If your gf alikuwa anapost pic zake za ukweli hakuna tatizo hapo japo kupost familia pia sijamwelewa
mmmmhh!!
 
Niliwahi Ku-Add-iwa Kwenye Group La Mabroo Flani Hivi Aged Between 30-45 Most Ni Proffesionals Located In Dar And Arusha. Kuna Lawyers,Lecturers,Doctors,Directors,Na Nyadhifa Nyingine Nyingi. But Huwezi Kuamini Picha Zilizokuwa Zinatumwa Huko Za Vibinti Walivyo/Wanavyo/Walivyo Na Mpango Wa Kuvigonga Mpaka Nachoka. Na Kupiga Stori Za WorkMates Wa Kike Mara Yule Dada Wa Floor Ya 3 Amembwato Sahivi Kapewa Gari Mara Yule Intern Ananishobokea..
Nikasema Loh,Afu Most Wameoa Na Watoto Juu.
 
Niliwahi Ku-Add-iwa Kwenye Group La Mabroo Flani Hivi Aged Between 30-45 Most Ni Proffesionals Located In Dar And Arusha. Kuna Lawyers,Lecturers,Doctors,Directors,Na Nyadhifa Nyingine Nyingi. But Huwezi Kuamini Picha Zilizokuwa Zinatumwa Huko Za Vibinti Walivyo/Wanavyo/Walivyo Na Mpango Wa Kuvigonga Mpaka Nachoka. Na Kupiga Stori Za WorkMates Wa Kike Mara Yule Dada Wa Floor Ya 3 Amembwato Sahivi Kapewa Gari Mara Yule Intern Ananishobokea..
Nikasema Loh,Afu Most Wameoa Na Watoto Juu.
Kwa umbea hakuna anaelingana na wakina dada hawa watu ni balaaaaaaaaaaaaa

Teh teh yeh teh!!
 
Back
Top Bottom