Wadada jamani badilikeni

Wadada jamani badilikeni

dachwa

Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
90
Reaction score
6
Kuna mrembo mmoja alikuwa ni mpenzi wangu tukaja kuachana kutokana na mambo zake za tamaa tu. Ni mwezi wa 4 sasa toka tuachane na tukawa tumekata mawasliano kabisa kila mtu na 50 zake.

Cha ajabu nakushangaza majuzi tu kanipigia simu akidai eti ooh! jamani umetupa jongoo na mti wake,sio vizuri alafu leo siku ya kuzaliwa kwangu hata ujaniambia happy birthday?

Jaman... sasa nini mana yakutaka kila mtu ale 50 zake?
 
kuna watu wana akili ila busara hawana pia kuna watu wana busara ila akili hawana japo wapo wachache wenye akili na busara!
bila kusahau wengi wenye kukosa busara na akili! wewe unafikiri uko wapi hapo? na huyo she wako wa zamani yuko wapi?
 
we nae mshamba tu, sasa ndo unadhan anataka kukurudia au! kum-wish happy birthday ni kitu cha kawaida hata kwa marafiki. kuachana sio kutengeneza uadui.., badilika mwenyewe.
 
kuna mrembo mo1 alikua ni she wang tukaja temana kutokan namambo zake zatama 2 ni mwezi wa 4 sasa toka 2temane nae 2kawa 2mekata mawasliano nae kbx kila m2 na 50 zake. chajabu nakushangaz majuz 2. kanipigia cmu akidai eti ooh! jamani ume2pa jongo na mtiwake. co vizur afu leo cku ykuzaliw kwangu ata ujaniambia happy barthday? jaman... sasa nini mana yakutaka kila m2 ale 50 zake? apo

Ndo vijana wetu hao wa siku hizi ambao wengi wao hata kuandika insha hawajui
Tz kazi tunayo Waziri wa Elimu upo!!
 
kuna tatizo gani ukiandika vizuri...??!
unatuumiza macho bhana...
 
mo1, 2 ,2temane ,# 2kawa, 2mekata, kbx, m2, 50 2. ume2pa, j. co, cku, ykuzaliw,y m2, 50
HorsePower hebu njoo uniambie hizi zina maana gani mkuu​


 
Last edited by a moderator:
yaani bidada ni hivi mwache kujishaua...yaani msiwe sitaki nataka ebo!

iv uwa mnaangalia upande wa pili wa shilingi ama uwa mnakurupuka tu, is he sure he was perfect mpaka akaletewa mishauo, pengine nae alikua anajifanya mjuaji (c ndo zenu nyie).
 
Aende zake wewe,kujishaua kwa nini? waku-wish wengine huko niache.
 
kuna watu wana akili ila busara hawana pia kuna watu wana busara ila akili hawana japo wapo wachache wenye akili na busara!
bila kusahau wengi wenye kukosa busara na akili! wewe unafikiri uko wapi hapo? na huyo she wako wa zamani yuko wapi?
swali lako nigum afu baya au we unaonaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom