Wadada jamani badilikeni

Wadada jamani badilikeni

si ungemwambia tu happy birthday, ugumu upo wapi mpaka kumuanzishia thread kutumalizia wino tu wenzio
 
kwani siku ya kuachana alikupa jongoo na mti, harafu kuachana siyo kuwa maadui mimi nikiachana na mtu anakuwa rafiki yangu hata akiwa na shida nitamsaidia, mapenz siyo vitu yangelikuwa vita tungelikuwa tunatafuta kwanza bunduki, mikuki nk ndo tunaingia uwanjani.
Kuna mrembo mmoja alikuwa ni mpenzi wangu tukaja kuachana kutokana na mambo zake za tamaa tu. Ni mwezi wa 4 sasa toka tuachane na tukawa tumekata mawasliano kabisa kila mtu na 50 zake.

Cha ajabu nakushangaza majuzi tu kanipigia simu akidai eti ooh! jamani umetupa jongoo na mti wake,sio vizuri alafu leo siku ya kuzaliwa kwangu hata ujaniambia happy birthday?

Jaman... sasa nini mana yakutaka kila mtu ale 50 zake?
 
Enyi vijana sikilizeni mnapokuwa masomoni acheni mchezo wa mapenzi mnawapa uchungu ooh wazaz wenu.........
 
Mwambie huyo mmoja anayekusumbua kuwa abadilike, sio ktujumuisha wote kwa kosa la mmoja.
 
Mwambie huyo mmoja anayekusumbua kuwa abadilike, sio ktujumuisha wote kwa kosa la mmoja.
kwani kuna kosa au yeye ndio tutusa mamie, muandiko wake mbaya km akili yake vile.lkn si kosa lake ameingia jf kwa pupaa angalia amejiunga lini na maudhurio yake.
 
Mimi na umri huu kweli naweza kuelewa chochote hapo mjukuu wangu? Nimetoka kapa!!!

Ila najiuliza kipuuzi, hivi kuna raha gani ya kuandika hivyo?

Sijui mkuu HorsePower kuna watu wanaleta ule uandishi wa text message wanauleta kwenye sehem kama hizi
Mtu akiniandikia hivyo huwa nawambia wazi sitakujibu sana sana ni taidelete maana naona hujaheshimu kile unachotaka kuniambia na mimi sitakuwa na maana au mpango wa kukujibu
 
Last edited by a moderator:
swali lako nigum afu baya au we unaonaje?

Swali gumu? yaani jibu lake ni shida kulipata au hujui maana ya busara na akili?
Baya? yaani kivipi linakukera au linakugusa?
ninaonaje? mimi binafsi sikuona busara upande wako japo kwa mudada kama nimeiona vile! akili acha wengine wawafanyie tathimini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom