Duh!, kweli umechukia, maana umeongea kwa hisia kali sana.uzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****
Sasa mkuu uko na michakato yako mtaani ila njaa imekuuma ukaona uingie kula KFC umeshiba utaomba kufungiwa uanze kuzunguka tena kitaa na kafurushi ka vipande vya kukuSasa ngoja ajambe ndio utajua huyu mchana kashindia maharage na dona ila alikuwa analeta pozi tu KFC.
Uzuri wa sehem hizo unaweza kuwaambia wakufungue kama kimekushinda lkn watu wengi wanajifanyaga kuacha...shenzy kbs
Kwani hamna watu wanaonunua chakula kwenda kula nyumbani?au ndio nyie mnataka mkae KFC mpige picha tuSasa mkuu uko na michakato yako mtaani ila njaa imekuuma ukaona uingie kula KFC umeshiba utaomba kufungiwa uanze kuzunguka tena kitaa na kafurushi ka vipande vya kuku
uzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****

Acha kukalili wewe, mtu anamishemishe zake town kahisi njaa anaingia hapo kula kashiba unataka ajilazimishe kula au unataka aombe kufungiwa aanze kutembea mtaani na vijipande vya kuku... Huo wako ndo unaitwa ushamba wa kushangaa mtu kuacha chakula kisa kashiba na kuanza kumpangia abebe akalie nyumbani na ukute hata kwako huwa unabakisha chakula na unatupa ila unakuja kushangaA hapo, na inaonekana wewe ndo huwa unaenda kupiga picha hapo na ndo maana mkaamua kupiga ya huyo alobakisha mkaanzishia uziKwani hamna watu wanaonunua chakula kwenda kula nyumbani?au ndio nyie mnataka mkae KFC mpige picha tu
Au zile kucha za kubandika zinakataza kula sana ili kuepukana na kuchambachambaSasa ngoja ajambe ndio utajua huyu mchana kashindia maharage na dona ila alikuwa analeta pozi tu KFC.
Uzuri wa sehem hizo unaweza kuwaambia wakufungue kama kimekushinda lkn watu wengi wanajifanyaga kuacha...shenzy kbs
Funguka. Inakela sana hiyo tabiauzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****
Hahahaa. Huyo akifika home lazima akale tena aiseeAstaghafillaaa!! Hicho chakula ndio mtu kishashiba hvyo?
HA HAHA HAHAAAA MKUU UPO SAHIHI KABISAA..KUNA WENYE K MBAYA BWANA MHHH..WAKUTA LIMETUNA KAMA USO wa pweza


Hebu nitafutie Uso wa pweza na Pua ya mbwa mlizozifikiria!..hahaaa kwahiyo tum mention hapa au ..tukutumie hiyo sura yenyewe ya USO wa pweza pm...Hebu nitafutie Uso wa pweza na Pua ya mbwa mlizozifikiria!..
Hahaha niwekee hapa picha ili niiangalie picha nikumbuke na maneno yenu!...First commentator kaua sana na comment yakehahaaa kwahiyo tum mention hapa au ..tukutumie hiyo sura yenyewe ya USO wa pweza pm...
mkuu USO wa pweza jinsi ulivyo ni balaa
Kudadeki zake mwanamke wa hivyo! Yaani ukithubutu kuacha chakula kama hivyo nakubebea na muda mwingine wa chakula utambambanacho hicho hicho....![]()
Huu hapa ni bonge la ushamba sijui nani aliwadanganya kuacha au kubakisha chakula kwenye sahani ndio ustaarabu
Akina dada mnatuangusha sana nyie ndio mna haka katabia kakuacha chakula kama unaona umeshiba si useme usiletewe chakula au ufungiwe take away nini sasa kugusa chakula na kuacha hivi
Ifike mahali mthamini na kukiheshimu chakula ukifanya hivi ata uyo bwana yako au ndugu yako anaona hufai nani anataka mrembo muaribifu si umaskini utatawala
Hii picha niliipiga baada ya mdada aliyekaa pembeni yangu kuondoka aliagiziwa chakula na msela wake akakigusagusa kama hivyo alafu akaleta pozi ka 'ooh no i cant eat chote' (hovyooo) yaani i could see the disappointment usoni mwa kaka aliyenunua msosi huo
Acheni hizi mbwembwe. Period
HAHAA SAWAHahaha niwekee hapa picha ili niiangalie picha nikumbuke na maneno yenu!...First commentator kaua sana na comment yake
Kula tena muhimu asee...Hahahaa. Huyo akifika home lazima akale tena aisee
Mtu yeyote anaejua maisha hawezi kuacha chakula kingi hivyo. Hata kama siend kula nabeba sitakosa wa kumpa.
Sio km unafanya fasheni,kwamba hamli sana? au sehemu ya kukomoa ama kumpima mtoa ofa?,maana wadada wa town mna vituKabisaaa,hii ni kufuru na laana mbaya..MTU mzima mwenye akili timamu hawezi Fanya hivi kuna wenye njaa wangapi mitaani jamani eeh,ukiwapelekea hata hicho kidogo si watakushukuru,..daah,!!!,,.,