Wadada: Huu ni bonge la ushamba

Wadada: Huu ni bonge la ushamba

Kuna demu nilishawahi kumla papuchi alikuwa hapendi kula na akiwa hajisikii anasema sitaki ununue chakula..... Basi kazi yangu ilikuwa ni kula dona tu na kusubiri kumnyoosha Goti... Hao mademu wanaokula hivyo hawajielewi na wengi wa nakaa kwao, ningekuwa angepata mbata za kutosha, kama siyo za Uso basi hayo makalio yangepata Mbata za kutosha.... Napita tuu
 
Kwa jinsi hicho chakula kilivyoliwa,kubeba na kumpa mtu mwingine sio sawa.
Tunaweza kumlaumu dada aliebakisha lakinni hatujui taste ya hicho chakula. Ina maana humu hamna mtu aliewahi kuagiza chakula kikamshinda kwa ubaya wake?
To be honest mimi hio KFC siwezi kumaliza, sio kwamba nimeshiba ila hayo ma junky food yashanikinai na sasa hivi naangalia sana mafuta na vitu kama hivyo.
Sasa mkuu Kama unayajua hayo yote au huyo demu Kama anajua hapendi junks kwanini mpoteze hela kuagiza? Why don't you get around and get some fresh cane juice?!
 
Labda wanawake wa dar...
Mie nala sahani yoote na maji kubwa
Wanawake wa Dar Kwani wanapishana na kaka zao basi!!!
Eti Mwanaume naye akakubali kunyanyuka chakula hata hakijaguswa!!! Huo ujinga sisi wanaume wa mikoani hatufanyi!!!
 
Wewe jamaa kama mimi!!! Akizingua naukamua wote, Kama ataniona mshamba atajua mwenyewe!!!
Kama Nimeshiba nawaomba wahudumu wafunge nibebe na ole wake aniombe njiani!!!
Hahahaaa kuna dem nimekaa nae gheto kama week moja sasa zamani alikua anajifanya hapendi kula ilikua tukienda kula anagusa gusa tu msosi wote namalizia mimi ...kumbe alikua ana act tu alikua anatoka kwako amekula vizuri ili aje kuniectia kwamba hapendi kula..
Sasa picha likaanza nimempeleka gheto kama week 1 nikipika nampakulia kidogoooo maana ndo kazoea kula hivyo..
Kumbe dem anapata njaa kinoma anashindwa kuongea na mimi dalili naiona lakini najifanya sielewi
 
Kwa Mimi wa jua Kali mwanamke akinifanyia hivyo ajue namuacha siku sio nyingi maana sipendi maigizo ya kujifanya ninazo sana.
 
uzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****
Imebid nicheke tu
 
Hahahaaa kuna dem nimekaa nae gheto kama week moja sasa zamani alikua anajifanya hapendi kula ilikua tukienda kula anagusa gusa tu msosi wote namalizia mimi ...kumbe alikua ana act tu alikua anatoka kwako amekula vizuri ili aje kuniectia kwamba hapendi kula..
Sasa picha likaanza nimempeleka gheto kama week 1 nikipika nampakulia kidogoooo maana ndo kazoea kula hivyo..
Kumbe dem anapata njaa kinoma anashindwa kuongea na mimi dalili naiona lakini najifanya sielewi
Hahaaaaaaa haaaaa....
Na huyo unatakiwa kumnyoosha vizuri usiku!! Amekula kizembe unasimamia shoo kwa masaa mawili hivi!! Lazma aingie jikoni kupika!!
 
Sasa mkuu Kama unayajua hayo yote au huyo demu Kama anajua hapendi junks kwanini mpoteze hela kuagiza? Why don't you get around and get some fresh cane juice?!
Unaweza kula junk kwa hamu tu. Unaweza siku ukawa na hamu ya chips yai balaa...ila ikija ukila robo tu hamu yote kwisha.
 
Hahahaaa kuna dem nimekaa nae gheto kama week moja sasa zamani alikua anajifanya hapendi kula ilikua tukienda kula anagusa gusa tu msosi wote namalizia mimi ...kumbe alikua ana act tu alikua anatoka kwako amekula vizuri ili aje kuniectia kwamba hapendi kula..
Sasa picha likaanza nimempeleka gheto kama week 1 nikipika nampakulia kidogoooo maana ndo kazoea kula hivyo..
Kumbe dem anapata njaa kinoma anashindwa kuongea na mimi dalili naiona lakini najifanya sielewi
Kwa iyo mzee mzee una mpango wa kukomit suicide au maana mtoto unamuona kuwa ana njaa lakini hutaki kmwongezea msosi. Mkuu lengo lako ni nini
 
Kwa iyo mzee mzee una mpango wa kukomit suicide au maana mtoto unamuona kuwa ana njaa lakini hutaki kmwongezea msosi. Mkuu lengo lako ni nini
Mimi nataka atamke kwa mdomo wake kwamba msosi ni mdogo hashibi sio mambo ya kufanyiana ubongo movie kwenye msosi..

Bora angekuwa ni dem mpya sasa huyu niko nae tangu 2015 nimezoeana nae lkn kwenye chakula tu huwa ana act kwamba ni wa kishua hali sana
Eti ananoshangaa mimi ninavyokula
 
Age is just a number kijana
Nafikiri unahitaji elimu. Ni hivi kuna umri ukifika inabidi uanze kwenda kwa step ikiwemo kuwa makini hata unakula nini.
Kama umeenda shule na hilo hulijui nasikotika sana, kama hukubahatika sikulamu.
 
Nafikiri unahitaji elimu. Ni hivi kuna umri ukifika inabidi uanze kwenda kwa step ikiwemo kuwa makini hata unakula nini.
Kama umeenda shule na hilo hulijui nasikotika sana, kama hukubahatika sikulamu.
Inawezekana hujui shule ni nini.


Tangu mtuvl anapozaliwa anakuwa yupo shule hadi pale atakapozikwa.

Ndio maana kuna msemo husemao ELIMU NI BAHARI. hata unayoyaongea ni sehemu ya shule. Upo hapo?
 
uzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****
eti kama mdomo wa mbwa
 
Inawezekana hujui shule ni nini.


Tangu mtuvl anapozaliwa anakuwa yupo shule hadi pale atakapozikwa.

Ndio maana kuna msemo husemao ELIMU NI BAHARI. hata unayoyaongea ni sehemu ya shule. Upo hapo?
Ndio maana nimekupa elimu hapo juu. Kuna umri ukifika inabidi uangalie vitu fulani ikiwemo vyakula. Hio sio lazima ni kwa wale wanaojali afya zao.
 
Back
Top Bottom