Wadada: Huu ni bonge la ushamba

Wadada: Huu ni bonge la ushamba

Sasa wakute wakila nyumbani au vyumbani mwao, kama machokoraa
87e0f8d048947b31557c74f3c87d0c6a.jpg
Maskini ya Mungu, hadi huruma
 
Wengi wao ni wale watazamaji wa bongo movie,
wenzao wana acha kwenye filamu,wao wana aacha kwenye uhalisia,
 
Hv kwanini watu mnakula migahawani.mi nikienda kukutana na mtu nakuwa nimeshiba nakunywa tu maji
Hiyo picha inawakilisha kile tuitacho "fast food" ama wahispaniola wanaita "comida rapido". Watu wengi wanakufa majumbani kwa sababu ya hivi vyakula vyenye migahawa yenye majina mazuri sijui McDonalds, KFC, Papa John's n.k.

Natamani ningekuwa na namna niifunge hii migahawa yote. Inatujazi kizazi kisicho na afya.
 
Mwanamke mshamba, na huyo aliyemtoa out naye mshamba. Mwanamke hayuko food conscious. Dunia ya leo, iliyojaa matatizo ya mabalaa ya njaa, mabadiliko ya tabia nchi, kuacha chakula hivyo ni sawa na kuwatusi wasio na chakula, na kuitusi dunia kwa rasilimali zilizotumika kuzalisha na kusafirisha malighafi iliyotumika kuwezesha hizo chips, kuku n.k. Aliyemtoa out ni mshamba kwa sababu out gani ya kwenda kula junk food? Yaani hadi leo watu bado wanaenda out za kula makuku ya KFC? Hapo nafikiri si chini ya buku mbawa zilimtoka. Sasa kwa elfu 20, si angepata organic food safi kabisa na juisi orijino na chenji kubaki?

Ewe mtanzania, kwenda kula KFC, Merry Brown, Subway, Burger King, Macdonald n.k., siyo ufahari au umatawi ya juu. Ni ushamba na ulimbukeni. Ndiyo maana kila kukicha tatizo la obesity linaongezeka. Mtaanza kupukutika kwa vifo vya ghafla kutokana na magonjwa ya pressure!

Elimu ya lishe bado ni changamoto kwa wengi wetu. Enyi wazazi jitahidini mjenge taifa la kesho lenye watu walio na afya njema. Yaani upatikanaji wa organic food ni wa bwerere, halafu mtu anaenda kujifakamia junkies za bei mbaya.
Tumekupata vyema msikilizaji wetu Nzi kutoka Organic food kagongwa kahama Tanzania.
 
Sema jamaa nae kazengua me nikimtoa demu out halafu abakishe chakula km icho uwa nakivuta kwangu na kukimalizia sipendi tabia ya kumwaga chakula
 
Mtu mwenyewe unakuta anakaa tandale halafu anajifsnya kuacha kuku kwelii,wadada wengine wa hovyoo kabisa
 
Mzee macho lazima yakutoke bili inapokuja yenye tarakimu 35,000
 
uzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****
 
Mabinti wengine bana, anaacha menu kama hiyo then anakwenda kwao kushindia mafenesi na dona, shenzi kabisa
 
Wanaume pia acheni ushamba, kufuatilia vitu vidogo kama ametoa hela yake kununua chakula kwanini umfuatilie....
 
WANGEJUA JINSI HELA TUNAVYOZIPATA KWA TABU WASINGEFANYA HUO UPUUZI
 
7c24a5962e1df59e921785e985eba77b.jpg

Huu hapa ni bonge la ushamba sijui nani aliwadanganya kuacha au kubakisha chakula kwenye sahani ndio ustaarabu
Akina dada mnatuangusha sana nyie ndio mna haka katabia kakuacha chakula kama unaona umeshiba si useme usiletewe chakula au ufungiwe take away nini sasa kugusa chakula na kuacha hivi
Ifike mahali mthamini na kukiheshimu chakula ukifanya hivi ata uyo bwana yako au ndugu yako anaona hufai nani anataka mrembo muaribifu si umaskini utatawala

Hii picha niliipiga baada ya mdada aliyekaa pembeni yangu kuondoka aliagiziwa chakula na msela wake akakigusagusa kama hivyo alafu akaleta pozi ka 'ooh no i cant eat chote' (hovyooo) yaani i could see the disappointment usoni mwa kaka aliyenunua msosi huo
Acheni hizi mbwembwe. Period
Wanaleta uzungu hata Kingereza hawajui !
 
Kuna bidada mmoja namkubali.hadi napenda kwenda nae out!akiletewa chakula au kinywaji lazma kiishe haijalishi wingi wake!huwa ananipa raha sana kumwangalia akila tu.hata kwenye mechi hana aibu nampenda sana asee!anakata viuno km hana akili nzuri haijalishi uzuri kila idara alokuwa nao.hajiskii wala kuringa anajiachia balaa.
 
Mimi fiesta ya mwaka juzi Arusha, nilipiga mtu makofi kisa ujinga Kama huo!we chipsi mishikaki mitatu mtu kala kipande kimoja tu etii ooh zimepoa manina walahii niliwaka balaa..akaanza ooh unanisamanga kisa chakula
 
Back
Top Bottom