Wadada: Huu ni bonge la ushamba

Wadada: Huu ni bonge la ushamba

7c24a5962e1df59e921785e985eba77b.jpg

Huu hapa ni bonge la ushamba sijui nani aliwadanganya kuacha au kubakisha chakula kwenye sahani ndio ustaarabu
Akina dada mnatuangusha sana nyie ndio mna haka katabia kakuacha chakula kama unaona umeshiba si useme usiletewe chakula au ufungiwe take away nini sasa kugusa chakula na kuacha hivi
Ifike mahali mthamini na kukiheshimu chakula ukifanya hivi ata uyo bwana yako au ndugu yako anaona hufai nani anataka mrembo muaribifu si umaskini utatawala

Hii picha niliipiga baada ya mdada aliyekaa pembeni yangu kuondoka aliagiziwa chakula na msela wake akakigusagusa kama hivyo alafu akaleta pozi ka 'ooh no i cant eat chote' (hovyooo) yaani i could see the disappointment usoni mwa kaka aliyenunua msosi huo
Acheni hizi mbwembwe. Period
Sio tuu ushamba bali ni dhambi cz kuna watu hata mlo mmoja hawajui kama watapata kila inapoitwa leo.
 
Daah nmemkumbuka singo maza wangu,huyu bibie tukitoka kikibak chakula anafunga tunarud nacho kwangu halaf kesho yake asubuh nagonga kiporo,kama ni kitimoto au kuku bas anasonga ugal,hahahah,.

Raha sana kupata dem anaejielewa,.ila ndo hvo tumepoteana nw mwez na siku kadhaa ,tulizinguana
 
Daah nmemkumbuka singo maza wangu,huyu bibie tukitoka kikibak chakula anafunga tunarud nacho kwangu halaf kesho yake asubuh nagonga kiporo,kama ni kitimoto au kuku bas anasonga ugal,hahahah,.

Raha sana kupata dem anaejielewa,.ila ndo hvo tumepoteana nw mwez na siku kadhaa ,tulizinguana
Mtu yeyote anaejua maisha hawezi kuacha chakula kingi hivyo. Hata kama siend kula nabeba sitakosa wa kumpa.
 
Mtu yeyote anaejua maisha hawezi kuacha chakula kingi hivyo. Hata kama siend kula nabeba sitakosa wa kumpa.
Kabisaaa,hii ni kufuru na laana mbaya..MTU mzima mwenye akili timamu hawezi Fanya hivi kuna wenye njaa wangapi mitaani jamani eeh,ukiwapelekea hata hicho kidogo si watakushukuru,..daah,!!!,,.,
 
Kabisaaa,hii ni kufuru na laana mbaya..MTU mzima mwenye akili timamu hawezi Fanya hivi kuna wenye njaa wangapi mitaani jamani eeh,ukiwapelekea hata hicho kidogo si watakushukuru,..daah,!!!,,.,
Wanakushukuru na kukuombea juu. Sema ni utoto tu. Kuna watu hawapendi kuonekana wanakula sana wakiwa na bf zao. Kumbe wangejua bf wenyewe hawataki huo ujinga
 
uzungu mwingi sasa nenda nae room avue chupi uone huo uvundo huko chini..unakuta mitako imepauka na hapo mbele msitu sio msitu.ukikuta kanyoa unakuta sura ya K upo kama pua ya mbwa..
*****
Mwe mwe mwe mwee khaa!!
 
Halafu pia ni dhambi kwa Mungu

Kuna watu wanakosa hata chai ya asubuhi tu sembuse mlo japo mmoja.
 
Unakuta dem mwenyew mbaya tu umeamua kumfanyia favour skuiyo unamchukua kwenye Vitz yamo unamtoa unampeleka KFC ili nae akale ajiskie skuiyo afu anaenda anaagiza korokocho la maana afu anavunga kula kama ivo dem mwenyewe ukimuangalia ziwaziwa na chura hana, mfyuuu!!
 
Back
Top Bottom