Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,085
- 16,060
Hahaha,daah,..nikwel ukiona dem wa hvyo ujue ni bonge la mshamba,...mi nmeshatoka na madem wakal na wenye hadh na pesa yao,..lakin hata m1 hajawai fanya use.nge kama huo,sana sana tukienda subway au kfc kwanza weng hawapend lia pale,wanapenda lia kwenye gar ili watafune mifupa vzur,..
Na hua naenda nao baa za mtaan tuu,enz zile za dagaa dagaa pale lego tunakula kitimoto na mtoto mkal tena kwa mkono,..au naenda nao rudys farm kule yaan had mifupa,na ni madem wa ukwel,..
Huyo atakua wa tandale sasa anajifanya tu
Na hua naenda nao baa za mtaan tuu,enz zile za dagaa dagaa pale lego tunakula kitimoto na mtoto mkal tena kwa mkono,..au naenda nao rudys farm kule yaan had mifupa,na ni madem wa ukwel,..
Huyo atakua wa tandale sasa anajifanya tu
