Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ha haaa, tuko wengi tulioshindwa na dawa....asante best..nna natural hair ya kubana kipafu..lol
ngoja niifanye hii style kesho. inaweza dumu kwa muda wa siku ngapi bila kuvurugika?
mambi ya dawa yamenishinda..
unaweza kaa nazo hata wiki, ila mimi nikifanya hivyo ni kama naenda mahali, baada ya siku 2 huwa naosha....
siwezi kaa nazo zaidi ya siku 2 maana ile activator inakuwa inatengeneza kama vipaticles fulani ambavyo naviona kama uchafu, so huwa sipendi. ila kama unaweza vumilia unaweza kudumu wiki, ila ndo unakuwa huchani na chanuo, ni mwendo wa kutengeneza kwa vidole
ila sasa kama natural yako ni kipilipili sijui itawezekana! maana mimi zangu ni laini sana