Wadada, Hii ni style gani?

Wadada, Hii ni style gani?

Kwa hiyo Boflo anatununulia vigauni vya laki 3 afu kuna mchaga anakamua maziwa? Siamini aisee?

Hehehe mie mwenyewe najiogopa hapa. Kuna siku ntashonwa mdomo na sha8-. Unajua shazia wewe?[/QUOTE Boflo mshika pembe tu!
mchaga ndo anakamua unido banaaa!
sasa mbn we unavaa gauni zake za laki 3 na sio Paw wako!
chezeeeeeeya booooooooonge la mwanaume Boflo wewe!

ahahahha usinikumbushe shazia!
na sipati picha ushonewe na gunia lake!
 
Last edited by a moderator:
ahahahhahahhahahhahaha hivi wewe !nani kakwambia Boflo ndo mchaga wangu!
ahahahhaah FP :A S 101: hebu kuja elezea zizuri hii makitu!
unajua huku ndani watu ni mabingwa wa kuhisi.....
wakiona mnatupiana maneno mawili matatu basi watu wameshatoka na maconclusion yao........
kumbe teja lipo pembeni linaangalia tu........
mchaga asije akapiga stop kuingia jf bure......
 
Aaah mie tena best. Mjini mahesabu. Hujawahi kukodisha vogue ukaenda kumrusha roho hawara wa mpenzio hahahaha. Unafika unamuambia nilitaka nikujue tu. ngoja nikampitie mr ofcn. Anabaki anagugumia kuambiwa chukua taksii, chezeiya eeh?

Niko juu aisee. You need me as a friend hehehehe. Hautakopeshwa utapewa ofa. Mmmh ngoja nisepe manake naona Bishanga anaanza kuniathiri kisaikolojia lol
Nimeamini kweli mjini mahesabu......
ntakutafuta shosti, kumbe hata corolla naweza azimwa? watanitambuaje sasa mtaani?
 
image.jpg

Haya wadada...mambo hayo!
 
image.jpg
Mambo ya weekend hayo...je wewe ulishaenda salon teyari?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    546 KB · Views: 298
Back
Top Bottom