kobokocastory
JF-Expert Member
- Aug 30, 2014
- 1,076
- 1,272
Dah...., kumbe list ya mahitaji bado ni ndefu..!?hizo tatu zinatosha hyo ya nne siitaki ongeza na anipigie pigie simu mara kwa mara umekunywa chai baby? umekula mamy? umekunya mpenzi? umeswaki mamy ? nk sio unajikausha kama haupo