Wadada haya si ndo mnayoyataka?

Wadada haya si ndo mnayoyataka?

you can't dream about me its like winking a beatiful girl in dark place
Basi ndo imenitokea hivyo.. Nime-assume upo kama huyu mlimbwende hapa chini. Sijui ni kweli??
abb5ade58e791c4c18e81cfb3f37d211.jpg
 
tatizo huwa linakuwaga kumaintain kumpa hayo mambo kwa mda mref, na kuna wale wachache ambao hta umpe dunia nzima bdo hataridhika 100%
 
tatizo huwa linakuwaga kumaintain kumpa hayo mambo kwa mda mref, na kuna wale wachache ambao hta umpe dunia nzima bdo hataridhika 100%

inategemea na aina ya mwanamke..wapo wanaorizika na hali watakayokuwa nayo, wapo wanaotaka kuwakomesha au kuchuana na mashosti kuwa babe na e ako nazo, wapo wengine kwa sababu babe anazo wacha nitumie kwa raha zangu ndo maana unakuta mtu anataka kila toleo la kariakoo avae asipitwe..kwenye shida anakukacha kama mwenge...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom