Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
- Thread starter
- #21
Mr inabidi ajipange kwenye hiyo sektando maanake yaani kama hunijali hatutaelewana kabisa wala sikai na wewe siku mbili hata kama nimekupenda vipi
Mr inabidi ajipange kwenye hiyo sektando maanake yaani kama hunijali hatutaelewana kabisa wala sikai na wewe siku mbili hata kama nimekupenda vipi
Mkuu hata hivyo ni vitendo pia...Hutakiwi ufanye hivyo vitu kimaigizo. Unafanya kama wajibu wakoHayo yoooote ni kuiga iga tamaduni za watu.
Unatakiwa kumfanya mwanamke ajue kwa vitendo kuwa wewe ndio shida zake.
Mjegejo ni automated asylum.
HAAHAAAA!MKUU HAWA VIUMBE HAWANA FOMULA,INGEKUWA NDO IVO KUSINGEKUWA NA BREAK UPs!KUNA AMBAO WAMEPEWA KILA KITU ULICHOSEMA LKN WAKAZINGUA!WE MSOME ULIYE NAE UJUE ANAPENDA NINI NA NINI HAPENDI LAKINI UJUE TU KWAMBA HAWA VIUMBE HAWANA FOMULA!Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni muwapo 6×6. Mwanamke ukimkamata kunako 6×6 basi huyo kukuacha inakua ni ngumu sana.
3. Mpe care za kutosha. Mwanamke anahitaji caring nzuri na kumuona yeye ndo kila kitu.
4.Msifie mara kwa mara. Wanawake wanapenda kusifiwa,wanakua wanajiamini sana wakipata sifa kutoka kwa mpenzi wake.
Dada zangu kuna kingine nimesahau hapo?? Naamini hivyo ndo vitu vikuu.
Sasa kwa mwanamke ambae utampatia hivyo vitu hapo na bado akazingua huyo atakua hajatulia a.k.a pasua kichwa.
Kuchakarika kusisababishe kusahau majuku yako mengine kwa mpenzi wako..Mwanaume kuchakarika sa we jifanye unajua kucare utageuka mfariji wa vidume wenzako kwa dem wako
Hao viumbe hata uwape roho yako ni shida kuridhikaKuchakarika kusisababishe kusahau majuku yako mengine kwa mpenzi wako..
upendo kwanza mkuu haya mengine ndo ya kushikilia ule upendo mtu kama hakupendi hata kama umpe nini ni kazi bureHAAHAAAA!MKUU HAWA VIUMBE HAWANA FOMULA,INGEKUWA NDO IVO KUSINGEKUWA NA BREAK UPs!KUNA AMBAO WAMEPEWA KILA KITU ULICHOSEMA LKN WAKAZINGUA!WE MSOME ULIYE NAE UJUE ANAPENDA NINI NA NINI HAPENDI LAKINI UJUE TU KWAMBA HAWA VIUMBE HAWANA FOMULA!
Ambae haridhiki atakua hajielewi au hakupendi au ana pepo...Hao viumbe hata uwape roho yako ni shida kuridhika
Mkuu unaonekana umetendwa...Mwanamke haridhiki bora ufanye kitu unachokipenda wew
hizo tatu zinatosha hyo ya nne siitaki ongeza na anipigie pigie simu mara kwa mara umekunywa chai baby? umekula mamy? umekunya mpenzi? umeswaki mamy ? nk sio unajikausha kama haupo
Hata wanaume tuna tamaa..Kikubwa ni vipi tunaepuka hizo tamaa..Wapo wanaojielewa mkuuKaka hao viumbe hawaishi tamaa huwezi mlidhisha huyo kiumbe
hizo tatu zinatosha hyo ya nne siitaki ongeza na anipigie pigie simu mara kwa mara umekunywa chai baby? umekula mamy? umekunya mpenzi? umeswaki mamy ? nk sio unajikausha kama haupo