Wadada haya si ndo mnayoyataka?

Wadada haya si ndo mnayoyataka?

We Valentina unanitafuta ubaya tu,mwanamke nimhudumie yote hayo sawa ila na ye kama na Gap anisaidie sio kupeleka kwao tu,kuhusu 6x6 hata mwanamke nae anatakiwa anikune tatizo lenu wanawake jukumu hili huwa mnatuachia sisi wanaume tu.......unakuta amekaa tu kifo cha mende hata kukukuruka kidogo hamna!!
 
Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni muwapo 6×6. Mwanamke ukimkamata kunako 6×6 basi huyo kukuacha inakua ni ngumu sana.
3. Mpe care za kutosha. Mwanamke anahitaji caring nzuri na kumuona yeye ndo kila kitu.
4.Msifie mara kwa mara. Wanawake wanapenda kusifiwa,wanakua wanajiamini sana wakipata sifa kutoka kwa mpenzi wake.

Dada zangu kuna kingine nimesahau hapo?? Naamini hivyo ndo vitu vikuu.

Sasa kwa mwanamke ambae utampatia hivyo vitu hapo na bado akazingua huyo atakua hajatulia a.k.a pasua kichwa.
Hapo sasa umeongea kama Obama saba pamoja. Kweli kabisa take 5
 
Mimi naamini ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimtimizia haya basi roho yake itatulia..
1. Mpatie hela ya kutatua mahitaji yake. Usisubiri akuombe mana wengine kuomba hawawezi.
2. Mfikishe kileleni muwapo 6×6. Mwanamke ukimkamata kunako 6×6 basi huyo kukuacha inakua ni ngumu sana.
3. Mpe care za kutosha. Mwanamke anahitaji caring nzuri na kumuona yeye ndo kila kitu.
4.Msifie mara kwa mara. Wanawake wanapenda kusifiwa,wanakua wanajiamini sana wakipata sifa kutoka kwa mpenzi wake.

Dada zangu kuna kingine nimesahau hapo?? Naamini hivyo ndo vitu vikuu.

Sasa kwa mwanamke ambae utampatia hivyo vitu hapo na bado akazingua huyo atakua hajatulia a.k.a pasua kichwa.
women1.jpg


All the best.
 
hata ufanyeje hawa ndugu huwa hawaeleweki kwa muda ataridhika ila with time atamiss ujinga mwingie ambao huna
 
kuna wale malaya wa kutithi.....binadamu anaridhika kwa kubadili beliefs zake tu khs swala husika na ndo mana kuna wanawake wanapewa kila kitu lkn vicheche na wanawake wanakosa kila kitu lkn sio vicheche
 
Mkuu uko wapi nikutafute, unaonekana unajua kujali sana aiseee. Nikimpata wa hivi nahisi ntanenepa kbs.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom