Wadada haya si ndo mnayoyataka?

Wadada haya si ndo mnayoyataka?

No.2 tu ndiyo naweza kuifanyia kazi, tena itategemea ushirikiano wake!
 
Kwa hiyo wewe hata usipofikishwa poa tu ilimradi hayo mengine fresh..
Mim ni bora uwe unanijali kuliko kunifikisha...... maana kwa hayo Macare ntalidhika jinsi ulivyo hata ukipiga kmoja ukalala poa tuu.... kuliko unisugue weeeee alafu macare /mahaba hunipi hapana kwakweli ,ipo siku nitakuacha tutu.
 
Hapo ndo watu wa Kaskazini huwa tunaibiwa wake zetu maana utapata wapi muda wa kufanya hayo yote na kutafuta pesa?
 
Mwanamke umuhimu wake kwangu ni kunipa mapenzi na mtt nikitaka,hayo mengine ajiongze mwenyew kwn mm baba yKe.
("Kwan wewe baba ake")........
Hebu tuanzie hapahapa, ni kweli wewe sio baba'ke.
Kwan baba'ke anamtaka ampe mapenzi au mtoto? Baba ake anamgeuzageuza kitandani???
Ukijibu haya utajua wajibu wako kwa mpz wako.

Wanaume wengi hamtaki kuwapa pesa wapenzi wenu kwa kisingizio kwamba sio mzazi wake, lakini think about jinsi ulivyomkuta kwao anang'aa nawe ukampenda ili awe mpz wako. Unadhani usipomtunza ataendelea kupendeza kama ulivyomkuta? Na kwann usimuhudumie ili hata mkiachana aendelee kuonekana mrembo wenzio wajitwalie??

Humtunzi wakwako na bado ukiwakuta wa wenzio barabarani wanang'aa unawatamani. Mwili haujengwi kwa tofali kaka zangu.
Ni misosi, mavazi na good care.

Acha kumzeesha mwenzio, mwanamke anahitaji matunzo na kama huwezi bas achana na mabinti wa watu.
 
ndio maana nakimbiwa na warembo....point taken....hatari sana
 
Hapa ni tstizo
ff50e4c0e2b95bf93aca779880e9035f.jpg

Mugabe you cant be serious on that nimeamini mapenzi yana run dunia
 
Mim ni bora uwe unanijali kuliko kunifikisha...... maana kwa hayo Macare ntalidhika jinsi ulivyo hata ukipiga kmoja ukalala poa tuu.... kuliko unisugue weeeee alafu macare /mahaba hunipi hapana kwakweli ,ipo siku nitakuacha tutu.
Aisee mko tofautiiii..Wengine ukimpa dushe la maana ndo anaridhika zaidi.
 
("Kwan wewe baba ake")........
Hebu tuanzie hapahapa, ni kweli wewe sio baba'ke.
Kwan baba'ke anamtaka ampe mapenzi au mtoto? Baba ake anamgeuzageuza kitandani???
Ukijibu haya utajua wajibu wako kwa mpz wako.

Wanaume wengi hamtaki kuwapa pesa wapenzi wenu kwa kisingizio kwamba sio mzazi wake, lakini think about jinsi ulivyomkuta kwao anang'aa nawe ukampenda ili awe mpz wako. Unadhani usipomtunza ataendelea kupendeza kama ulivyomkuta? Na kwann usimuhudumie ili hata mkiachana aendelee kuonekana mrembo wenzio wajitwalie??

Humtunzi wakwako na bado ukiwakuta wa wenzio barabarani wanang'aa unawatamani. Mwili haujengwi kwa tofali kaka zangu.
Ni misosi, mavazi na good care.

Acha kumzeesha mwenzio, mwanamke anahitaji matunzo na kama huwezi bas achana na mabinti wa watu.
Umesema vyema..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom