Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,152
- 190,689
we unaonesha hupendi kukatwa na unafanyaga ilimradi tu mchizi kataka. Utakuwa na shida mno!Mim namba 2 sio lazima saana.....Ila nkimpata wa kunipa # 3,1,4... walaah nitatulia kabsaaaa
we unaonesha hupendi kukatwa na unafanyaga ilimradi tu mchizi kataka. Utakuwa na shida mno!Mim namba 2 sio lazima saana.....Ila nkimpata wa kunipa # 3,1,4... walaah nitatulia kabsaaaa
Hahaaaa..Eti suruali zote unaziona sketi. Natumai uliye nae anakupa hayo ma care.Pole Yao au labda hawajawahi kukutana na macare..... kujaliwa kuna raha yake bhana maana inakufanya kichwani mwako umuwazee yeye tu suruali zingne zote unaziona sketi hahahahah
Hahaha nkimpata wa kunipa vyote swadataaa ingawa ni vigum saana....... Na sio kwamba sipendelei mchezo hapana naupenda saana tu , ila sijaupa kipaumbele kiasi hicho kwamba hata nisiporidhishwa nianze kuangaika .Hahaaaa..Eti suruali zote unaziona sketi. Natumai uliye nae anakupa hayo ma care.
Ukimpata anaependa kugegedana na ma care anakupa hapo vipi mana nnavyoone kupendelei huo mchezo.
Inamana kwa sasa huna mtu??Hahaha nkimpata wa kunipa vyote swadataaa ingawa ni vigum saana....... Na sio kwamba sipendelei mchezo hapana naupenda saana tu , ila sijaupa kipaumbele kiasi hicho kwamba hata nisiporidhishwa nianze kuangaika .
Ndiyo maana nakutafuta!!!!! Hahahaaaa! kha! Umekunya dearing!!?Kunywa Hennesy nakuja kulipa.
hizo tatu zinatosha hyo ya nne siitaki ongeza na anipigie pigie simu mara kwa mara umekunywa chai baby? umekula mamy? umekunya mpenzi? umeswaki mamy ? nk sio unajikausha kama haupo
Hahaaa bado baby..Ndiyo maana nakutafuta!!!!! Hahahaaaa! kha! Umekunya dearing!!?
Mugabe bhana , ni namba nyingine!Hapa ni tstizo![]()
Akitoka madarakani wazungu watafurahi sanaMugabe bhana , ni namba nyingine!
Inawezekana ni kujipanga tu @ ICHANAUuuupsi mwanaume WA kiivi mwenye hizi sifa anapatikana sayar gani vile ha ha kwa maishA ya kibongo bongo atafute pesa plus tress za magu heeee na familia zetu za watu elfu kumi ukufanyie hayo yote mtu mmoja .!!!!!!!!!!!!!;;;
Mpe uhuru alaf umfanye yeye ndo rafiki yako mkubw,Niamini hatodanganyika, na atakayokua anashauriwa na mashosti zake atakwambia yote.Pia ukimpa uhuru saana anadanganywa na marafiki zake wa kike! Wanampiga short
Mmh unadhani hawajui basi
Kumbe hata mamaako ni kiumbe kichwa cha kuku? Unalaana wewe na wala hujuw mapenz mbwa wewe!huku chuga tunawaitaga viumbe kichwa cha kuku!
Niko hivyo mkuu..Ukinipa mdogo wako wa kike hutajutaUmemaliza nahisi mkuu una tabia hizo
Mkuu inaonekana kakuudhi!!Kumbe hata mamaako ni kiumbe kichwa cha kuku? Unalaana wewe na wala hujuw mapenz mbwa wewe!
Kama kakaako anavojua kuniteka
