Wadada beware na wakaka selfish,wakaka hii tabia sio.

Wadada beware na wakaka selfish,wakaka hii tabia sio.

mmh sasa bidada kama unaona ni mzigo si usiwe unaenda nae wapo wenggi wanatake over
 
Wadada wa mjini. Nanyi mnamambo. Nani alikwambia kuna mtu anatoka kwa kutegema hela ya mtu hata kama amesema anakutoa mambo mengine mjifikirie kabla hujaandika
 
The guy was too selfish , i concur with you bidada....
Kwanza kabisa yeye kakuita wewe mtoke (wakati wewe huna plans za kutoka), he ought to take care of you coz he initiated the mtoko...

Of course, as a decent lady you gotta have your own cash, just in case anything happens, but for this case, yeye mwanaume alitakiwa awe ameshajipanga kwamba anakutoa:
...Je, anajua una kiasi gani ili akuachie wewe ndo ulipe bills?
...Kwa nini atake kutoka na wewe il hali yeye hawezi/hataki kukulipia?

The guy was too selfish..... it's so unfair you had to spend needless...

For me ukitaka tutoke maanake umejiandaa ms_shylo upo sahihi kabisa, watu wameamua kukushushia stress zao tu ila you are absolutely right to complain..
 
Last edited by a moderator:
The guy was too selfish , i concur with you bidada....
Kwanza kabisa yeye kakuita wewe mtoke (wakati wewe huna plans za kutoka), he ought to take care of you coz he initiated the mtoko...

Of course, as a decent lady you gotta have your own cash, just in case anything happens, but for this case, yeye mwanaume alitakiwa awe ameshajipanga kwamba anakutoa:
...Je, anajua una kiasi gani ili akuachie wewe ndo ulipe bills?
...Kwa nini atake kutoka na wewe il hali yeye hawezi/hataki kukulipia?

The guy was too selfish..... it's so unfair you had to spend needless...

For me ukitaka tutoke maanake umejiandaa ms_shylo upo sahihi kabisa, watu wameamua kukushushia stress zao tu ila you are absolutely right to complain..

You are the only one who went through the topic well and understood,the rest are just being too hegative kwa tabia yao ya uvivu wa kusoma kitu na kuelewa.Thank you .Wanaongelea mfumo dume while i paid my dear friend's bill,It wasnt even split.Deep inside they understood.I wont keep arguing with them.
 
Last edited by a moderator:
May be that's why the guy is still rich.... And it seems he will die rich...
 
boys mnaojiita players, kuna kocha wa kike anatafuta wachezaji!!
 
Ckumoja mtoe outing ya nguvu
Mgharamikie each n evwry thing, na ikiwezekana mrudishe home na pocket money muachie...
Halaff utaniambia atakavo jickia aibu..
Lazma atajistukia...😉😉
 
You are the only one who went through the topic well and understood,the rest are just being too hegative kwa tabia yao ya uvivu wa kusoma kitu na kuelewa.Thank you .Wanaongelea mfumo dume while i paid my dear friend's bill,It wasnt even split.Deep inside they understood.I wont keep arguing with them.

Mimi sijui kiingereza vizuri mkuu ila ninataka niseme niliyoyaelewa.

Kwanza haikua lazima akulipie lakini pia haikua lazima wewe ulipe bill yote ni kwa busara zako tu ukaona ni vyema ulipe,

Pili wewe ulipoambiwa utafikishwa nusu safari ungejiongeza uende kwenu kimpango wako coz nusu safari na bado hujafika kwenu yasaidia nini!!?
Tatu inawezekana ulishampimia mshkaji kwamba ni mambo safi so ulitaka utumie iyo fursa vizuri na yeye kakustukia.

Lastly sioni mantiki ya ulichoandika hapa coz you ought to take care of your self na si kulialia... ikiwa nimekukwaza nisamehe.
 
@ Commanche; I agree with you 100% . Personally as a man, it's a big turn on when a woman offer to pay or share a bill.To me that's a sign of independent woman, a woman who is not there because of your wallet, but simply because she enjoys your company. At the end, i will usually insist on paying, but in my heart, she has already scored a touchdown.
 
jamaa hakufanya pouwa ila na wewe(wanawake) msikarir kuwa kila mwanaume ni wa kumtegemea tu. watu wanamalengo na pes zao
 
You are the only one who went through the topic well and understood,the rest are just being too hegative kwa tabia yao ya uvivu wa kusoma kitu na kuelewa.Thank you .Wanaongelea mfumo dume while i paid my dear friend's bill,It wasnt even split.Deep inside they understood.I wont keep arguing with them.

ninyi wote mnaonekana mna matatizo. Nilivomuelewa mshkaji wako ni kweli selfish sana na hanana aibu. Jamaa hana sifa ya kuitwa gentlemen. Halafu huyo jamaa kama ana akili timamu yawezekana kuna vitu vinachangia.. Kwa nje unamuona Yuko poa kisa anapendeza na ana usafiri ila kipato chake hakimuwezeshi kuishi maisha anayoyataka matokeo yake ndio hayo anawaboa mademu zake.

kwa upande wako bidada unaonekana jamaa humkubali ila unapenda kuuza nae sura... Na jamaa ameshakujua hivyo na ushamuambia jamaa una vijicent thats y jamaa anakuslopia(slope). Sasa wewe ya nini unapenda boyfriend wa mtu akutoe out halafu unalalamika jamaa,hakugaramii? Pengine jamaa anaona yeye anagharamia usafiri na mafuta ndio maana anapotezea. All in all jamaa ni selfish na hana aibu.
 
Ckumoja mtoe outing ya nguvu
Mgharamikie each n evwry thing, na ikiwezekana mrudishe home na pocket money muachie...
Halaff utaniambia atakavo jickia aibu..
Lazma atajistukia...😉😉

ukitaka kujua kuna watu wana matatizo ya akili jaribu kufanya hivyo.. Hilo jamaa laweza likafurahia sana na mwishowe kukuuliza unanitoa lini tena out?? Utabakia umeji surprise mwenyewe!
 
Someone once said, "women are naturally givers,men takers...."...I'm not sure if it's true but to us men,if you need something simply "ASK"........kuna wanaume wachache sana wenye uwezo,na wakamind kumlipia mdada especially outing!...ni wazo tu
 
Kwanini usitumie lugha moja tu, au unafikisha ujumbe kuwa wewe hukusoma santa kayumba? kama vipi changanya na kifaransa ili tujue kuwa wewe ni msomi.
 
Wadada mara nyingi tunaambiwa tuwe na pesa ya akiba tunapotolewa na wakaka!obviously any decent,classy lady will do.Sasa i have a friend of mine ambaye ni mwanaume who is loaded(Rich) and way too selfish.Once he passed by my place mida ya jioni kunisalimia and i asked him to take me kwenye restaurant moja nearby to collect my dinner take away haoo tukaanza safari its less than 1km from where i stay nimefika nashuka kufwata my dinner akatoa pesa akaniambia nimchukulie food pia.I dropped paid for my food with my money and paid his with his money nikamrudishia na change!You might call me selfish aswell for paying my food only but he gave me his money nilipie cha kwake tu!wasn't a big deal ofcourse!he dropped me back home akasepa!Some otherday alinikuta at a certain restaurant at Upanga was having my dinner so akaja akakaa na mimi and ordered his food,nikamkaribisha alienda na mimi sawa hadi mwishoo as he waited for his food,kikaisha and i left as he waited for his pizza na cousin wake.Sasa this weekend akanicheki ananiambia he's bored,i was bored indoors aswell akaniuliza "unataka kwenda wapi?chagua nije nikufwate" i told him "nataka kwenda somewhere around masaki for mishkaki" he told me to get ready he was coming for me,mwanamke i got all ready,he came picked me up tukaenda zetu.I had my money all ready with me tukafika nikaagiza and he ordered some lil thing na drinks tukaagiza!We were done as you know wahudumu wengi wamecramisha kuwa the man takes care of the bill akaja kufwata pesa from my dear friend,wacha macho yamtokee!i took care of the bill for both and we left to their crib kuchill tu,his girlfriend was travelling later in the day so i wanted to leave anirudushe akasema will take you half way and you take usafiri mwengine coz anampeleka mamaa airport he had to hurry akampick i could foretell huu usafiri mwengine he is not gonna take care of the cost so as usual i had my money with me,tumefika half way akaita usafiri akaanza kuongea nae,kaelewana nae he is like "poa bye basi tutachekiana" na kuelewana nae kotee he didint give hata a cent,why did he bother kuongea nae sasa anajua nna pesa ngapi?Even his girlfriend complains about him being selfish.
Basi this is a REMINDER to the ladies always remember to have enough money with you unapotolewa,watu wa aina hii wapoo.And to the SELFISH guys jamani usimuombe mtu mtoke if you know you wont take care of the bill,learn to share costs and greediness is a SIN!!
Anabahati namvumila ni mshkaji otherwise ningemditch vibayaa!!

Yani kuandika yote hayo kumbe unalalama kutokulipiwa bili?! We ni fal* sana!!
Eti unamvumilia, kwa mawazo yako hata ukiondoka kutakua na tofauti gan?! Kumbuka usafiri umegongea kwake?! Yani we ni m*****!!
 
Ckumoja mtoe outing ya nguvu
Mgharamikie each n evwry thing, na ikiwezekana mrudishe home na pocket money muachie...
Halaff utaniambia atakavo jickia aibu..
Lazma atajistukia...😉😉

Mdanganyeni tu huyo fukara aone! Kama kujilipia tu analalamika kumlipia mwingine je?! Lift upewe ulalamike kuwa alipaswa kukulipia kabisa?!
 
Back
Top Bottom