Wadada ambao ndoa bado

Kudos,huwa unaandika unaandika vitu vyenye uhalisia mkubwa na maisha ya sasa.
I wish mbuzi katoliki wengine wanaotangaza umalaya wao humu wangejaliwa hata robo tu ya IQ yako,mahusiano mengi yangedumu.
 
Hivi binadamu nashukaje thamani ilihali una afya njema kabisa?
 
hatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
Hahaaaa bila shaka saizi mtu akija na swaga za kukuoa lazima apige mzigo asiee.
Lkn mada yako ina ukweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…