Wadada above 30


Kuna Mwali , @Rev.Masanilo , Ennie judith Tetra , nyumba kubwa , BAK , Mr.Rocky na wengine,kwa kifupi wapo wengi sana,tunataka tuondoe matongo tongi kwenye hiki kizazi cha ajabu na tuirudishe MMU ytu ile ya wakati ule ...
 
Last edited by a moderator:

Umeniita nimekuja.....hivi what happened? Mwenye Uzi tusamehe bure kwa muda mchache tu
 
Last edited by a moderator:
Inakuaje unafika30 hujaolewa mwanamke? Unasoma.?? Unatafuta bil gate... Wala tusiwatetee ni wajinga. Unatakiwa ukidika 30 atlist unamtoto mmoja wa ndoa... Na mfie huko bali nyie vibibi mnaojiona watoto na kuwanza ndoto za mchana za kumpata kama mtu mengi... Hamuushi kujua kila aina za vilabu mjini...shenzi type... Huwezi sema umekosa wa kukuoa...endelea kula starehe hadi upate makunyanzi maana yashawaanza
 

Una akili sana barikiwa na Mungu
 
Mie am above 30,sijaolewa na siwazii.....nikimpata mume haya,nisipompata pia haya....

Acha uongo wewe...jinsi ulivoandika unaonekana kabisa kwamba una msongo wa mawazo lini na we utaolewa japo kwa wiki afu uachike uendelee kula mipombe yako na kusema niliolewaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…