Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,864
Bwana nyie ni wasumbufu mnapenda maubuyu sana.
Kwani mnadhani nishakuwa na wachumba wangapi? Wale niliowaelezea ndo hao tu watatu niliokuwa na uhakika nao hao wengine ni vibaka tu wa papuchi . siku moja , week tunatawanyika kama kondoo wasio na mchungaji.
Nyie mnaosema tunachagua sana hebu niambieni wapi nilipokosea?
Kwani mnadhani nishakuwa na wachumba wangapi? Wale niliowaelezea ndo hao tu watatu niliokuwa na uhakika nao hao wengine ni vibaka tu wa papuchi . siku moja , week tunatawanyika kama kondoo wasio na mchungaji.
Nyie mnaosema tunachagua sana hebu niambieni wapi nilipokosea?