Wachumba niliowakataa, mchumba wa mwisho

Wachumba niliowakataa, mchumba wa mwisho

Ur looking for a man who doesnt cheat,he's Educated, awe na kazi,gari,maisha mazuri, asiwe amezaa,awe good in bed,awe anampenda Mungu nk...
Unapokosea ni kutafta perfection ambayo haipo
Cha kufanya :Tafuta mwanaume anataka kuoa, select from them angalia yupi unaweza vumilia mapungufu yake mana mazuri ya mtu kuishi nayo sio shida... Then Jitose olewa..over...
Umesahau awe na six nini ile?
 
Mambo yatajipa tu miss , achana na vibaka hao watakuharibia papuchi yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom