Wachumba niliowakataa, mchumba wa mwisho

Wachumba niliowakataa, mchumba wa mwisho

kwani nimesema walinitaka? mimi historia yangu imeishia kwa wale watatu tu

Duh!

Mi wala sijasema kuwa wewe umesema kuwa walikutaka!

Mimi nimemwambia tu jamaa akuache maana naona kama anakuandama vile.

Anywho, samahani. Ngoja niondoke hapa kabla mambo hayajaharibika!

Deuces.
 
Ur looking for a man who doesnt cheat,he's Educated, awe na kazi,gari,maisha mazuri, asiwe amezaa,awe good in bed,awe anampenda Mungu nk...
Unapokosea ni kutafta perfection ambayo haipo
Cha kufanya :Tafuta mwanaume anataka kuoa, select from them angalia yupi unaweza vumilia mapungufu yake mana mazuri ya mtu kuishi nayo sio shida... Then Jitose olewa..over...
 
Ulikosea kuchagua aina ya malisho...
Swala huliwa na aina ya predator aliye karibu naye. Mfano swala akienda mtoni, most likely ataliwa na mamba, swala huyo huyo akiwa kwenye nyasi fupi, most likely ataliwa na simba na pia swala huyo huyo akiwa karibu na miti miti mirefu, most likely ataliwa na chui...
Ila akishabaki makombo, most likely akaliwa na fisi...
Ukitaka uolewe na mwanaume mweupe, ishi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, ukitaka uolewe na mwanaume mweusi, ishi mikoa ya Kigoma, Kagera, Mara...
Sasa wewe umejipitisha pitisha karibu na wanaume wa hovyo hovyo, most likely hao ndio watakao kuona.
Kupata matokeo mazuri zaidi, jiunge na kwaya leo uone kama hujaibuka na mtumishi wa Bwana...
 
Ur looking for a man who doesnt cheat,he's Educated, awe na kazi,gari,maisha mazuri, asiwe amezaa,awe good in bed,awe anampenda Mungu nk...
Unapokosea ni kutafta perfection ambayo haipo
Cha kufanya :Tafuta mwanaume anataka kuoa, select from them angalia yupi unaweza vumilia mapungufu yake mana mazuri ya mtu kuishi nayo sio shida... Then Jitose olewa..over...
sio kweli nafatuta mwanamme who doesnt cheat,he's Educated, awe na kazi,gari,maisha mazuri, asiwe amezaa,awe good in bed,awe anampenda Mungu nk. maana hakuna alie perfect ,am not perfect either
inshort sijapata tu mwanaume wa kunioa anaeleweka hata kwa mbali
 
Ulikosea kuchagua aina ya malisho...
Swala huliwa na aina ya predator aliye karibu naye. Mfano swala akienda mtoni, most likely ataliwa na mamba, swala huyo huyo akiwa kwenye nyasi fupi, most likely ataliwa na simba na pia swala huyo huyo akiwa karibu na miti miti mirefu, most likely ataliwa na chui...
Ila akishabaki makombo, most likely akaliwa na fisi...
Ukitaka uolewe na mwanaume mweupe, ishi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, ukitaka uolewe na mwanaume mweusi, ishi mikoa ya Kigoma, Kagera, Mara...
Sasa wewe umejipitisha pitisha karibu na wanaume wa hovyo hovyo, most likely hao ndio watakao kuona.
Kupata matokeo mazuri zaidi, jiunge na kwaya leo uone kama hujaibuka na mtumishi wa Bwana...
sichagui .wanawake tupo wengi
 
sio kweli nafatuta mwanamme who doesnt cheat,he's Educated, awe na kazi,gari,maisha mazuri, asiwe amezaa,awe good in bed,awe anampenda Mungu nk. maana hakuna alie perfect ,am not perfect either
inshort sijapata tu mwanaume wa kunioa anaeleweka hata kwa mbali
ngoja kwanza bado sifa moja tu nakumiliki mrembo maana gari huwa nafanya kuazima..au hata hiyo poa tu
 
Bwana nyie ni wasumbufu mnapenda maubuyu sana.

Kwani mnadhani nishakuwa na wachumba wangapi? Wale niliowaelezea ndo hao tu watatu niliokuwa na uhakika nao hao wengine ni vibaka tu wa papuchi . siku moja , week tunatawanyika kama kondoo wasio na mchungaji.

Nyie mnaosema tunachagua sana hebu niambieni wapi nilipokosea?
Leo sasa ,Moyo Wangu umejawa na furaha sana ,kwanza kwakujua maisha yako ya mahusiano japo kwaufupi .
fb29322d901c7642c84859a644a9fd15.jpg
Miss Natafuta ,Njoo ukae pemben mwangu Mama bila shaka mpaka hapa I can say That "Seat" of yours is not yet taken ?.mmhh?!.
 
Miss Natafuta nakupenda e..

Mimi ni hendisamu,ila kapuku nacheza show za Buyern Munich huku kocha akiwa Pep.

Ukinikubali namimi nitakubali kuwa kiben5 mana ndo kwaanza Nina miaka 24.

Ukitaka kupruvu njoo Pm meseji yangu ya kwanza lazima pichu ilowane.

Sinaga mchezo kwenye michezo.
 
Miss Natafuta nakupenda e..

Mimi ni hendisamu,ila kapuku nacheza show za Buyern Munich huku kocha akiwa Pep.

Ukinikubali namimi nitakubali kuwa kiben5 mana ndo kwaanza Nina miaka 24.

Ukitaka kupruvu njoo Pm meseji yangu ya kwanza lazima pichu ilowane.

Sinaga mchezo kwenye michezo.
Hhhhaaaaaaaa
 
Ujakosea madam ila naomba niwe wako wa nne
ilo papuchi lako litakuwa linatia aibu sana, manake umepigwa na idadi isiyojulikana na kutupwa kwenye dustbin huko unaugulia maumivu. angalia usijezeekea home.
 
Wengine sio lazima muolewe ukute ndoa haziwafai
Utapata tu mwaya
 
Kwani mnadhani nishakuwa na wachumba wangapi? Wale niliowaelezea ndo hao tu watatu niliokuwa na uhakika nao hao wengine ni vibaka tu wa papuchi . siku moja said:
NAOMBA NIWE KIBAKA WA HIYO PAPUCHI😛😛😛
 
Mume mwema hutoka kwa bwana kazana na maombi utampata ulieandaliwa na mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom