Smile JF-Expert Member Jul 18, 2011 15,347 11,610 Sep 19, 2011 #21 rejao said: huku wachumba wapo kibaaao!! Ukitaka..jaribu kupm id' yoyote unayoiona ya kike!! Click to expand... ngoja nianze kupm id za kiume
rejao said: huku wachumba wapo kibaaao!! Ukitaka..jaribu kupm id' yoyote unayoiona ya kike!! Click to expand... ngoja nianze kupm id za kiume
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Sep 19, 2011 #22 Dunia imeendelea, vijana wanatongoza na kupendana online.
Rejao JF-Expert Member May 4, 2010 9,220 4,056 Sep 19, 2011 #23 Bebii said: ngoja nianze kupm id za kiume Click to expand... hahaha.... anza na yangu!! Nasubiri PM yako kwa hamu
Bebii said: ngoja nianze kupm id za kiume Click to expand... hahaha.... anza na yangu!! Nasubiri PM yako kwa hamu
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Sep 19, 2011 #24 Wapo waliokutana humu na wameoana tayari. Wengine wapo kwenye maandalizi ya kuoana na wengine bado wana pm, hata no za simu bado!
Wapo waliokutana humu na wameoana tayari. Wengine wapo kwenye maandalizi ya kuoana na wengine bado wana pm, hata no za simu bado!
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Sep 19, 2011 #25 Wachumba tupo kibao. Mi mwenyewe nishapata wangu.