Da kiukweli namkubali mmoja tu niliyewahi kumuona...Tujuzane wachezaji watatu bora kuwahi kuvaa jezi za Njano na Kijani yaani Yanga Sc.
Mimi naanza na hawa;
Edibily Jonas Lunyamila
Nadir Haroub Ally Kanavaro
Nonda Shaban Papii
tupe list yako...
Redio Tz akishika mpira Lunyamila unaweza kutoka roho ☹☹☹☹☹Tujuzane wachezaji watatu bora kuwahi kuvaa jezi za Njano na Kijani yaani Yanga Sc.
Mimi naanza na hawa;
Edibily Jonas Lunyamila
Nadir Haroub Ally Kanavaro
Nonda Shaban Papii
tupe list yako...
Kwani Simba Imefanya Nn Huko Kimataifa Ambacho Kila Siku Mnatupigia Kelele?Hivi Yanga imewahi kufika wapi kimataifa? nijibu bila jazba
itakuwa huijui vzr Utopolo. Ila kwa Lunyamila sawa. Hao wengine umepuyanga.Tujuzane wachezaji watatu bora kuwahi kuvaa jezi za Njano na Kijani yaani Yanga Sc.
Mimi naanza na hawa;
Edibily Jonas Lunyamila
Nadir Haroub Ally Kanavaro
Nonda Shaban Papii
tupe list yako...
Kwa hiyo hili ni jibu? au ndio utopoloKwani Simba Imefanya Nn Huko Kimataifa Ambacho Kila Siku Mnatupigia Kelele?
Ndo Jibu HiloKwa hiyo hili ni jibu? au ndio utopolo
umejibu kama Utopolo ambao ilielezwa kuwa wote ni chenga isipokuwa Manara na JKNdo Jibu Hilo
Nawe Uliuliza Kama Kolo Mulibwanji Hivii!umejibu kama Utopolo ambao ilielezwa kuwa wote ni chenga isipokuwa Manara na JK
Ilipeleka wachezaji taifa kwenda kuomba viatu kwa Real SiciedadKwani Simba Imefanya Nn Huko Kimataifa Ambacho Kila Siku Mnatupigia Kelele?