Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,531
- 65,295
Kwakuwa umesema mwenyewe, hakutakuwa na lawama.Hatujawahi kushindwa kumfunga Ahly pale kwa Mkapa. Atakufa tu. Ng'ombe atachinjwa kwa namna atakavyolala.
Hakuna mechi tutafungwa pale kwa Mkapa hata awe nani.
Ova
Uwe live tu...