SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,336
- 4,693
Ninapatwa na ukakasi hasa kuhusu uelewa wako katika biblia hiyo hiyo unayoisoma sasa kama si vizuri kutrace your origin Basi hata Yesu wako nina mashaka nae sababu aliyepo kwenye maandiko ukisoma Mathayo 1 yote ile ina trace origin asili ya Yesu zaidi ya vizazi vitano nyuma.......Waliona umuhimu ndiyo maana wakaliandika hilo...ukweli una shida somewhere there is missing part..
Kuna ulazima wa kukujibu.kama ulazima upo,fungua uzi wako wa maswali nakuja kukujibu.na kama haupo mkuu unaweza kupita mdogo mdogo sitopata hasaraHujajibu swali. Jibu swali.
Mimi si "Great Thinker". Na wala sihitaji uniite au unione great thinker.
"Great Thinker" kwangu ni tusi la kejeli.
Aristotle alikuwa "Great Thinker". Kwa sababu hiyo, alisimamisha na kurudisha nyuma maendeleo ya sayansi kwa miaka 1600.
Sitegemei umjue Aristotle wala kisa ninachozungumzia.
Kwa sababu unaonekana kuona "Great Thinker" kuwa ni sifa nzuri.
Sent from my Kimulimuli
Hiyo historia ya Ukoo wa Daudi unafikiria iliandikwa ili kutoa nafasi yesu au ukoo wake "kuvunja" maagano na miti ya laana? Kwa hiyo Biography kwa mfano ya Ukoo wa Magufuli ipo ili kuonyesha kuwa huko nyuma kwenye ukoo wao kulwahi kuwa na Raisi na ndio maana na yeye akafanikiwa kuukwaa uraisi?
Haikuwa na ulazima wa wewe kumuongelea Mwakasege mkuu.wakati mwingine ni salama sana kukaa kimya na kuyaangalia maneno yako.
Kwani ungepita bila kusema chochote ungepungukiwa nini???
Kama unataka kumuongelea Mwl Christopher Mwakasege fungua uzi wako mkuu.usiniletee laana
Kama humpendi mtumishi fulani wa Mungu usimkashfu.ni vyema ukakaa kimya
Kwanza kabisa weka alama ya kuuliza kwenye swali.Kuna ulazima wa kukujibu.kama ulazima upo,fungua uzi wako wa maswali nakuja kukujibu.na kama haupo mkuu unaweza kupita mdogo mdogo sitopata hasara
Mkuu naona unajichanganya aiseeh.hebu rudi kasome upya uzi wangu tena kwa umakini.maana yanakutoka maneno kibao.soma vizur mkuu unajibu sivyo.Hiyo historia ya Mababu zako toka Adamu na Hawa Mwakasege mdo anaifahamu vizuri? Yeye ndo anaweza kuzichambua vizuri historia za watu wote duniani? Yeye ya kwake nani alimchambulia? Baadhi ya Waafrika mulienda shule kukariri mambo au kung'azwa vichwa vyenu?
Walikuwa wanabana matumizi tu hao itakuwa.Hivi kwanini usiku wanasema usiite chumvi sababu Ni nini
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Basi
Basi una tofauti na Mafarisayo ambao mpaka leo wana amini na wanasema mpaka leo Yesu sio Mfalme sababu hakutoka katika Ukoo wa Daudi.......
Mkuu pole unajitahidi kumuelewesha mtu ambae haelewi.naona anayoyajibu mengi yapo kinyume.Uja
Ujaelewa Boss.......Yaani yeye kama yeye aanze kujifahamu asili ya kwake kwa wale ambao wapo au apate mtu ambaye anawafahamu wao lada babu na bibi zake wazaa wazazi wake....ndivyo nilivyomaanisha Mkuu.
Swali langu kama unaamini Biblia umeliruka. Hujalijibu.Soma maandiko Matakatifu na uyaelewe vizuri.Historia ya Ukoo wa Yesu ipo kutuhabarisha tu juu ya chimbuko lake na sio kama hao wahubiri wenu wafanyavyo leo.Maudhui ya Biography ya Yesu ni kama ilivyo leo kwa Biography ya Nyerere,Nkurumah,Kenyata,Mkwawa, wewe na mimi.Jambo la msingi na la kujivunia ni kile alichofanya Yesu kwa kutokea katika ukoo huo:kufa na kufufuka kwa ajili ya kutuondoshea dhambi zetu.
KUANZIA LEO ANZA KULA KITIMOTO AU JIPAKE MAFUTA YAKE THEN LETA MREJESHO
Aiseeh hongera sana mkuu.Wachawi wapo na wanatutesa sana sisi tuliozaliwa kwenye dini.hatujui cha mganga wala nini.
Kuna sehemu niliajiliwa nilikoma nilikuwa silali nachelewa kuamka nikamuuliza jirani akanambia kama sina kinga ya mwili nitateseka. akasema huku hutoweza kuishi.
Niliteseka nikataka kuacha kazi mama alinipa moyo nisaliii yaan nikisali kama ndo nawaita kwa Kasi
Nilienda kanisani nikachukua maji ya baraka na rozali nasaliiiiii mwisho wakapungu.
Nilitoka nilipokwenda chuo sikurudi. Sasa hivi ni mkubwa najua jinsi ya kusali ahasaaa ni maneno gani ya kusali ninapoishi kwa sasa mjini kuna wachawi huwezi amini. Wasomi wake za watu wabibi, na wanaume wachache.
Sijui nini kinanitokea kwa sasa yaan nina uwezo wa kusali na kumwona mchawi tangu mnaingia ndani. Hata niende kutembea sehemu kama kuna wachawi usiku naangaika sipati usingizi na mchawi akiingia ndani lazima nimuone.
Siku moja nimelala nilimwona Ness fulani akaja kanichezea kaniniga, asubuhi nikamwambia mwenye nyumba akasema huyo nesi ni mwalim wa wachawi. Nikakumbuka nilisali kizembe usiku nilikuwa nimechoka Ikabidi niende dukani kwake kununua dawa. Nikamwambia "shingo inauma usiku kuna mama alininiga ila akirudi kwangu hatotoka atabaki ndani hadi asubuhi." Akajisemesha wewe una uwezo gani nilimwambia nasali huwezi kuingia kwangu nisikujue.alianza kuja kupitia sura za watuwengine.ila maombi ndo kila kitu
Biblia yangu inalala kwenye mto na rozali, maji ya baraka hayakosi.nalala vizuri
La kufanya sali sana kabla hujalala kama unavaaga night dress ivae kwa kuigeuza.na kama utaweza weka maji kwenye jagi yaweke nyumbani mchawi hawezi kukugusa. Hizo njia mbili kwao ni mwiko.
Akikuta umegeuza nguo atarudi. Na akikuta maji wanasema anaona kama bahali. Mchawi akiguswa maji dawa zake uisha nguvu.so hawezi kuingia ndani
Sasa nan kakudanganya kuna maji ya baraka ??.
Sent from my GT-S5310I using JamiiForums mobile app
Yani we mtu bhana sijui ukoje!!umesoma uzi wangu lkni au unadandia tren kwa mbele!!hebu kuwa makini bhana.halafu kama wewe huamini maandiko ya kwenye Biblia ni wew.sisi utuache na tunayoyaamini.si lazima unachokitaka wewe kiwe kitakuwa.angalia maneno yako mkuu.Kama umemsoma mleta mada vizuri huyo Mwakasege ndiye anayemjaza hayo mafundisho ya kichawi.Kuhusu hilo la Biblia kuongelea laana;una ufahamu gani juu ya Biblia? Hicho unachokisema juu ya kuandikwa kwenye Biblia umekisoma pia katika Lugha mama ya Kiyunani au Kigriki na kukuta maana hiyo hiyo ambayo imekusudiwa na tafsiri ya Kiswahili au Kiingereza? Soma kwanza Historia ya Uandishi wa Biblia kabla ya kujielekeza kufanya kazi ya tafsiri.Petro na Paulo hawakufanya kazi ya kutafsiri Maandiko Matakatifu kwa upotofu kama afanyavyo huyo Mwakasege.BTW, nyakati za Petro na Paulo hakukuwa bado na mkusanyiko wa Maandiko Matakatifu pamoja kama ilivyo hivi leo na wala hawakuwahi wao wenyewe kwa mafundisho ya mdomo au nyaraka zao kupotosha waamini kama anavyofanya huyo jamaa yenu.
Umefurahi Eeehee Ila Mie Sipo Kwenye Chama Chochotenimecheka lol!uvccm kwenye ubora wako