Joshua Mbezi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 1,506
- 2,898
Kila nikiwaza hatima yangu na ya taifa langu naona njia nyingi haziwezi kutuletea suruhu
Mfano njia za
Kisayansi/teknolojia
Sisi kama taifa bado tupo nyuma sana hatuna mbinu Bora za kisayansi za kutuwezesha kutatua changamoto zinazotukabiri,
Kisiasa/kidemokrasia
Kwenye siasa naona tayari tumeharibu Wala hakuna Matumain ya kupata mabadiliko kupitia njia hii iwe self changes or national changes kwa njia hii hatuwez kupata mabadiliko
Religious beliefs
Dini za kurithi (Christian/Muslim) nazo naona haziwezi kutuletea mabadiliko zaidi ya kuendelea kutunyonya na kutugawa
Sasa nahisi ni wakati wenu wachawi wa hili taifa kuonesha umwamba wenu
Itabidi mnipe uchawi 😎 na uchawi ninaoutaka sio wa kula mizoga makaburini Wala kukimbinzana na akina mwamposa
Nataka uchawi kwa maslahi mapana ya taifa na private issues
Kwa maslahi mapana ya taifa uchawi wenu utanisaidia kufanya yafuatayo
_kutandika viboko vya mgongoni wanasiasa wote wanaochafua taswira ya nchi yetu.
_kuwapa kichaa wanasiasa wote wasio timiza ahadi zao kwa wananchi
_kuwaotesha vibyongo na kuwapa mabusha wananchi wote machawa na wasio wajibika kwa jamii
_kuwapiga upofu na ukoma wanasiasa wote wanaosaini miktaba ya kuuza rasimali za taifa letu
_kuhakikisha watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama wanawajibika kwa wananchi
Private issues
Uchawi wenu utanisaidia kufanya yafuatayo kwa ajiri ya manufaa yangu
_ kumfanya ex wangu atulie kwenye familia yake 😎
_Kuongeza jitihada za kutafuta maokoto😋
Nb
Ata ninyi wachawi mnao nafasi ya kulijenga taifa lenu ili ata katiba ijayo mtambulike rasmi na kupewa uwakilishi bungeni
Mfano njia za
Kisayansi/teknolojia
Sisi kama taifa bado tupo nyuma sana hatuna mbinu Bora za kisayansi za kutuwezesha kutatua changamoto zinazotukabiri,
Kisiasa/kidemokrasia
Kwenye siasa naona tayari tumeharibu Wala hakuna Matumain ya kupata mabadiliko kupitia njia hii iwe self changes or national changes kwa njia hii hatuwez kupata mabadiliko
Religious beliefs
Dini za kurithi (Christian/Muslim) nazo naona haziwezi kutuletea mabadiliko zaidi ya kuendelea kutunyonya na kutugawa
Sasa nahisi ni wakati wenu wachawi wa hili taifa kuonesha umwamba wenu
Itabidi mnipe uchawi 😎 na uchawi ninaoutaka sio wa kula mizoga makaburini Wala kukimbinzana na akina mwamposa
Nataka uchawi kwa maslahi mapana ya taifa na private issues
Kwa maslahi mapana ya taifa uchawi wenu utanisaidia kufanya yafuatayo
_kutandika viboko vya mgongoni wanasiasa wote wanaochafua taswira ya nchi yetu.
_kuwapa kichaa wanasiasa wote wasio timiza ahadi zao kwa wananchi
_kuwaotesha vibyongo na kuwapa mabusha wananchi wote machawa na wasio wajibika kwa jamii
_kuwapiga upofu na ukoma wanasiasa wote wanaosaini miktaba ya kuuza rasimali za taifa letu
_kuhakikisha watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama wanawajibika kwa wananchi
Private issues
Uchawi wenu utanisaidia kufanya yafuatayo kwa ajiri ya manufaa yangu
_ kumfanya ex wangu atulie kwenye familia yake 😎
_Kuongeza jitihada za kutafuta maokoto😋
Nb
Ata ninyi wachawi mnao nafasi ya kulijenga taifa lenu ili ata katiba ijayo mtambulike rasmi na kupewa uwakilishi bungeni