matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,632
- 15,439
Wachawi wanaweza kupanda mkuki, ufagio au ungi wakasafiri hadi nje ya bara kwa sekunde.
Wanaweza kuwaamrisha fisi, mamba, paka, mijusi hata mbwa kufanya wanachotaka wakati wowote bila kubisa.
Ni aibu kubwa mtu kujiita mfuasi wa Mungu mwenye nguvu zote wakati huna uwezo kwa Kucheza na vitu vya asili katika mlengo chanya. Mfano kuagiza kwa tamko moja ujikute uko DSM bila nauli kufumba na kufumbua.
Kwenye Biblia waliweza sisi kimetukumba nini.
Yesu aliongea na upepo ukamsikia na kutii.
Petro aliongea na maiti ikaamka.
Elisha aliongea na shoka ikaelea.
Philipo alisafiri hadi Gaza kufumba na kufumbua kutokea samaria bila chombo chochote kwenda na kurudi.
Musa aliongea na bahari ikaachia njia.
Nini chanzo cha huu uchovu wa kiroho kiasi kwamba wacha Mungu wanazidiwa miujiza na wafuasi wa kashetani kaadui mufirisi.
Tatizo ni nini?
Mungu wa siku za mwisho kapoa makali?
Sisi ndio tunazingua?
Wanatuzidi ujanja gani katika ulimwengu wa roho hawa jamaa hadi mida hii naandika wako wengi tu angani wanakula route mikoani bure.
Wanaweza kuwaamrisha fisi, mamba, paka, mijusi hata mbwa kufanya wanachotaka wakati wowote bila kubisa.
Ni aibu kubwa mtu kujiita mfuasi wa Mungu mwenye nguvu zote wakati huna uwezo kwa Kucheza na vitu vya asili katika mlengo chanya. Mfano kuagiza kwa tamko moja ujikute uko DSM bila nauli kufumba na kufumbua.
Kwenye Biblia waliweza sisi kimetukumba nini.
Yesu aliongea na upepo ukamsikia na kutii.
Petro aliongea na maiti ikaamka.
Elisha aliongea na shoka ikaelea.
Philipo alisafiri hadi Gaza kufumba na kufumbua kutokea samaria bila chombo chochote kwenda na kurudi.
Musa aliongea na bahari ikaachia njia.
Nini chanzo cha huu uchovu wa kiroho kiasi kwamba wacha Mungu wanazidiwa miujiza na wafuasi wa kashetani kaadui mufirisi.
Tatizo ni nini?
Mungu wa siku za mwisho kapoa makali?
Sisi ndio tunazingua?
Wanatuzidi ujanja gani katika ulimwengu wa roho hawa jamaa hadi mida hii naandika wako wengi tu angani wanakula route mikoani bure.