Gilbert simon
Member
- Apr 12, 2017
- 58
- 29
Hiyo moja alio nayo ktk parade huku ni nguvu ya pat......n mhu cjui.
Kwa hiyo baada ya ku testiwa ndio imejulikana uwezo wake ni wakuangamiza watu 36 tu ama?????Kwa sasa tunaloamin ni hili MOAB, kwa sababu ni combat tested.
Vipi FOAB ni combat tested?
Watest unadhani hawajipendi?wangetest waone kipigoMimi naona heri wangefyatua tu ili tujue MBIVU na MBICHI.
Kwa sasa tunaloamin ni hili MOAB, kwa sababu ni combat tested.
Vipi FOAB ni combat tested?
Even a grenade can kill 36 peoples,Kwa hiyo baada ya ku testiwa ndio imejulikana uwezo wake ni wakuangamiza watu 36 tu ama?????
Soma kwa makini nilichoandika,Sijui wewe fani yako ni nini lakini inaoyesha you have no idea unacho zungumza, si kuna mitandao kwa nini u take trouble ya kutafuta ukweli, Americans wenyewe wanakubali uwepo wa the mighty Father Of All Bombs wewe mswahili ndiyo ulete ubishi!! Funny, don't you think? Mkuu hapa tunazungumzia mambo ya kisayansi i.e facts and figures siyo ushabeki husiyo na mantiki - figures za kisayansi zinazo onyesha utofauti wa mabom haya mawili zipo.
Tatizo watu wengi hawajui kuhusu North korea na technology yao,hawa jamaa kufika walipofikia ki uchumi na ki technology licha ya kuwekewa vikwazo kiuchumi miaka kibao si jambo la mzaha.Wananchi wake pia wana mapenzi na nchi yao na wako tayari kufa kwa nchi wao.Hawa sio waarabu,south americans au waafrika na sio kuwafananisha na hayo mataifa ambayo America nafanya anachotaka, Usa hawezi kwenda ovyo ovyo kwa hawa jamaa,madhara ya nyuklia muulize mjapan kidogo anajua,na ana makobora ya nguvu,hivyo south korea na japan (american allies) zitapata shida na makombola yake yana fika mpaka hawaii na central europe,akiona anashindwa atahakikisha anaharibu USA interest popote atakapoweza kufika.Ndugu soma vizuri nilicho ki post naona hujaelewa lolote?
Unazungumzia US gani hii tuijuayo au ya kwako,maana kama hii tuijuayo ndiyo inayoongoza kwa matangazo na propaganda kwenye media kuhusu silaha zao
Ha ha cha ajabu malighafi kubw ya kutengeneza hiyo nyuklia ambayo ni uraniam inapatikana tanzania,mto wa mkuju kusini huko,sasa sijui ishaanzwa kuchotwa au bado maana nasikia dili walipewa wa canada.Mmmh. Bora Hata wasipigane. Maana sisi vidagaa kina Tanzania sijui tutapona,Hata Bomu la nyuklia hivi Tz tunalijua kweli?
Wakifika hapo kwa NKorea wanaparuka mkuuOnly eleven countries have independently launched setellites on their own indegeneouslu developed launch vehicles,the countries are
1.Russia 2.USA 3.North Korea 4.Iran 5.China 6.Israel 7.U.K 8.India 9.France 10.Japan 11.Ukraine
Pia tukumbuke dunia ina Jumla ya nchi 196,nchi 185 zote hazijaweza hiki kitu.
Nawashangaa watu wanaoidharau North Korea
Mkuu kila kitu kitakuwa kibichiMimi naona heri wangefyatua tu ili tujue MBIVU na MBICHI.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Natamani Liskadi limoja lipanguliwe huko lije kutua hapo Dar ili muache kushabikia upuuzi.