Well said, wanasahau MSM zao zilivyo pigia debe bom lao lililo dondoshwa Afghanistani juzi, wakadai eti Waasi 36 waliuwawa kwenye shambulio hilo, hivi gharama la kuhunda Mother Of All Bombs linaweza kuwa justified kwa kuua waasi 36 tu, was it worth it au walitaka kutuma a msg kwa Korea,Iran, Syria nk.
Hapa baadhi ya members wanadai kwamba Korea, Uchina na Urusi wana kawaida ya kutangaza silaha zao kwenye Parade!! Je watasema nini kwa matifa ambayo yanatangaza silaha zao kwa kuangamiza maelfu ya binadamu?? Nani ambaye hajui kwamba kutumia bomb la M.O.B huko Afghanistani lengo ni la kisiasa zaidi kuliko kitu kingine kama kawaida yao wanataka kutishia Mataifa mengine ambayo hawapendi, mbinu hizi wanazitumia sana - waliwahi kodondosha mabom mawili ya Nuclear huko Japan bila ya sababu ya msingi zaidi ya kuitishia Urusi, wakauua Raia wengi wa Kijapan kwa lengo la kisiasa tu na ushindani wa kuhunda Silaha.
Vyombo vya habari vya magharibi juzi vilipigia debe Mother Of All bomb wakajifanya hawajui bom la Warusi ambalo lina nguvu mara nne ya Bom la Marekani, Bom la Urusi ndilo Conventional Bom linalo ongoza Duniani - mbona vyombo vya habari vya magharibi awalisema hilo.