USA hawezi kuigusa North Korea maana hiyo itakuwa ni 3rd world warLeo ndio siku ile tuliokuwa tunaisubiri-kushuhudia maadhimisho ya siku ya Jua huko North korea.
Ambapo siku hii taifa la North korea huadhimisha sherehe hizo kwa ku test makombola yake ya masafa
Ninachojiuliza Ikitokea kama Nortkorea hawata test ndio tuseme watakuwa wamewaogopa USA au watakuwa wamewasikiliza washirika wao china na urusi hivyo kusitisha zoezi?
Je wakitest hayo makombora USA atachukua hatua gani??
N.B tafauti ys masaa nchini Korea na Hapa kwetu ni masaa 6
Yap 600000 peopleHuenda wasifanye chochote kwa sababu wapo kwenye maandalizi ya kivita. Kumbuka ile evacuation ya hivi karibuni.
Upo nchi gani kiongozi?[emoji3] [emoji3] [emoji3] Nipo ndani ya handaki mkuu Network inasumbua sana,Korea hawana akili hawa nimekwisha jiandaa kwa lolote lile.
Yupi huyo mkuu?Aliyejiandaa ni mmoja tu. Wngine wanaswagwa kama mang'ombe tu ambao hujui kama watakunywa maji hata waikfika bwawani au watayatizama kwa macho!
Wapi North Korea au USA?Asiyejaribiwa wa huko kwao!
Hivi dereva wa roli nilazima awe na kondakta?Dereva wa malori....daaaa
Hahaa kamtu kamejibanza pembezoni kabisa mwa kitanda na Katecno kake kanashadadia vita unaweza ukadhani ni mechi ya kirafiki lkn akisikia hata jiwe limerushwa tuu juu ya bati kaushuzi kanamtoka.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora vibaki vitisho vikianza vita vya nuclear tutadhulika wengiHahaa kamtu kamejibanza pembezoni kabisa mwa kitanda na Katecno kake kanashadadia vita unaweza ukadhani ni mechi ya kirafiki lkn akisikia hata jiwe limerushwa tuu juu ya bati kaushuzi kanamtoka.
Wapi North Korea au USA?
Kwa sasa tunasubiri ripoti ya wenye vyeti fekiWa North Korea mkuu!. Unajua mimi kikwetu, ninafahamu kabisa wenye maneno mengi, huwa hawana nguvu. Dude lenye nguvu huwa liko kimya linaongea mara chache. Sasa haka kasikojaribiwa wa kule Korea, kameshaanza kutishia eti kakipigwa katachapa watoto wa mwenye nyumba wakitoka kuteka maji kisimani au kawafuate wakikata kuni!. Wapi na wapi?
Halafu mtu asiyejaribiwa huwezi kupima kibali chake kwa watu kufanya asemayo. Kwenye vita haiko hivyo.
N.K mimi naikubali sana. Yule jamaa hana simile. Akipanga kufanya jaribio la silaha zake za Nyuklia hata mataifa yote makubwa yapige kelele namna gani yeye huwa lazima afanye.Wakifika hapo kwa NKorea wanaparuka mkuu
NK katika kulinda nchi yao usiwaambie kitu hakuna cha mtoto wala mkubwa, hakuna cha raia wala askari. Kazi kazi tu.
Kwa sasa tunasubiri ripoti ya wenye vyeti feki