Wachagga leo watakufa

Wachagga leo watakufa

Mshana kuna mpare jirani yangu ana mbwa sasa kwa sababu ya ubahili anajaza maji kwenye ndoo na kutupia mfupa wenye nyama kidogo. Mbwa katika juhudi ya kuufikia mfupa anajikuta ameshiba maji.Mtani wangu huyo anauchukua mfupa na kuuweka juu ya bati akingoja kesho yake. Yote hii kupunguza matumizi.
 
Tumeokoka Siku nyingi waliobakia ni mmoja kati ya kumi !!

Jina la Bwana Yesu Mungu aliye hai Libarikiwe sana
 

Attachments

  • 1451070295908.jpg
    1451070295908.jpg
    44.2 KB · Views: 372
Tema mate chini Mshana.!!

WACHAGA WAKIFA NCHI ITAYUMBA, ACHA UTANI KABISA KWENYE HILI.
 
Mshana kuna mpare jirani yangu ana mbwa sasa kwa sababu ya ubahili anajaza maji kwenye ndoo na kutupia mfupa wenye nyama kidogo. Mbwa katika juhudi ya kuufikia mfupa anajikuta ameshiba maji.Mtani wangu huyo anauchukua mfupa na kuuweka juu ya bati akingoja kesho yake. Yote hii kupunguza matumizi.
teh tehe teheee.. naona watani mmekutana
 
Mshana kuna mpare jirani yangu ana mbwa sasa kwa sababu ya ubahili anajaza maji kwenye ndoo na kutupia mfupa wenye nyama kidogo. Mbwa katika juhudi ya kuufikia mfupa anajikuta ameshiba maji.Mtani wangu huyo anauchukua mfupa na kuuweka juu ya bati akingoja kesho yake. Yote hii kupunguza matumizi.

Wee endelea tu kama unadhani sifa
 
Wapare sio bahili kabisa. Jiran yangu aliuza ngombe kwa kesi ya kuku
 
Back
Top Bottom