Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Dah wadada was kichaga Mungu anawaona!
Mwaka 2017 nilipata ajira mahala Fulani,nilibahatika kufahamiana na dada mmoja wa kichaga,mzuri mwenyewe kaolewa na mchaga mwenzie wamebarikiwa watoto wawili wa kiume.
Tukawa karibu sana mara kwa mara akinieleza changamoto za mahusiano yake,kero yake kubwa ilikuwa ni mumewe ambaye alikuwa hatimizi majukumu yake ipasavyo ya kumpatia pesa za kutosha na wakati yeye anajua anazo.Yule Dada alinishangaza kwa mdomo wake alinisimulia ameenda kwa mganga kampa mganga laki 5 amuue huyo bwana,mganga akamwambia chagua siku akachagua siku ya jpili,hapo nasimuliwa Ni alhamisi ameenda kusuka nywele zake nzurii,ananiambia kesho naenda karume kununua masweta ya watoto Ilala maana tutasafirisha Moshi ni baridi...Ndugu zangu niliona KIZUNGUZUNGU,nilimuombea huyo mbaba Kama mtoto niliyemzaa jamani nilimugopa yule Dada sana..Basi bwana kufika hiyo jumapili ya ahadi Mjuba kaamka mzimaaa,bidada kapagawa, jumatatu ilivyofika asubuhi mbio mpaka alipofikia huyo mganga anaambiwa kaondoka jumamosi karudi huko kwao Tabora,
Basi kaingia kibaruani Kama saa nne haeleweki anadai mganga kamtapeli..Nilianza kujitoa ukaribu nae taratibuu ,nahisi aligundua Kuna siku nikawa nae akaniambia yaani najuta yule shetani aliyenipitia nimeshatubu...Hapo ndio nilijua true colors za wachagaaa..

Wanawake na wanaume wa kichaga wanapenda ushirikina sana sana haswa linapikuja swala la mali Yaani lazima ushirikina uingie wengi wao..
Na kwenye ishu za kuuwa wanawake wao wanapenda sana ushirikina
 
Twende mbele turudi nyuma hilo kabila la kichaga litabaki kuwa juu sana hasa kwa wanawake wa kabila hilo, kwanini nasema wachaga wanafaa kuolewa??... Wakuu dada wakichaga wanapiga sana kazi wanajituma hawa viumbe htr, kumkuta dada wa kichaga hajishughulishi ni nadra sana. Mwanaume ukioa hilo kabila jiandae kuwa tajir soon.

Wanawake wa kichaga wanajua kupenda jaman ukimpata aliekupenda utafurahi, hawana tabia za kimalaya kama makabila mengine akitulia katulia otherwise wewe mwanaume uwe hueleweki.

mwanamke wangu ni moja alochangia mpaka nikapanga japo nilikua sina kazi na nilipanga alinipa sana moyo wa kupambana mpaka now niko vizuri.

Nimefanya research yangu nikagundua wanawake wa kichaga ndo wanaongoza kwa kuolewa why?? Wanaume tunatafuta stability kwenye ndoa na sio mbwembwe za 6x6. Tunapenda mwanamke anayejituma, nenda mavyuoni utaona dada anaeuza boxa, bikini, macava ya cm, ubuyu wengi ni wakichaga.

Tukitoa kasoro zote zingine walizonazo ila hawa viumbe wanafaa kuolewa usiangalie sijui magogo, hawako romantic, wachaga watabak kuwa juu sana hasa kwa upande wa kina dada, huo ndo ukweli.

NOTE: Wachaga hawezi kuwa na wewe kama akiona huna future yoyte hawa wanawake huwa wanaweza kuona mbeleni wewe life ako itakuaje. Utamfanyia yote ila atavumilia.
Hasa umpate Mmachame original.
 
Huyo atakuwa hajakaa uchagani au kachanganyia sio yule pure


Na kama ni yule pure wazazi wote wachaga basi una bahati ..swali umeona upishi huko kwengine je ?
Hahah nimeona sana upishi wa pande nyingine, ila kusema ukweli bila upendeleo wowote huyu yuko vizuri sana, hata majirani na marafiki wanasifia kazi yake jikoni.

Pia amekulia uchagani kabisa (Marangu) japo katika harakati za maisha amewahi kuishi pia Arusha ingawa ilikuwa ni ukubwani.
 
Twende mbele turudi nyuma hilo kabila la kichaga litabaki kuwa juu sana hasa kwa wanawake wa kabila hilo, kwanini nasema wachaga wanafaa kuolewa??... Wakuu dada wakichaga wanapiga sana kazi wanajituma hawa viumbe htr, kumkuta dada wa kichaga hajishughulishi ni nadra sana. Mwanaume ukioa hilo kabila jiandae kuwa tajir soon.

Wanawake wa kichaga wanajua kupenda jaman ukimpata aliekupenda utafurahi, hawana tabia za kimalaya kama makabila mengine akitulia katulia otherwise wewe mwanaume uwe hueleweki.

mwanamke wangu ni moja alochangia mpaka nikapanga japo nilikua sina kazi na nilipanga alinipa sana moyo wa kupambana mpaka now niko vizuri.

Nimefanya research yangu nikagundua wanawake wa kichaga ndo wanaongoza kwa kuolewa why?? Wanaume tunatafuta stability kwenye ndoa na sio mbwembwe za 6x6. Tunapenda mwanamke anayejituma, nenda mavyuoni utaona dada anaeuza boxa, bikini, macava ya cm, ubuyu wengi ni wakichaga.

Tukitoa kasoro zote zingine walizonazo ila hawa viumbe wanafaa kuolewa usiangalie sijui magogo, hawako romantic, wachaga watabak kuwa juu sana hasa kwa upande wa kina dada, huo ndo ukweli.

NOTE: Wachaga hawezi kuwa na wewe kama akiona huna future yoyte hawa wanawake huwa wanaweza kuona mbeleni wewe life ako itakuaje. Utamfanyia yote ila atavumilia.
Asee c ndo hawa naskia mkinunua gari tu unapikiwa supu nyoka unaacha ndinga na mjengo kweny umiliki wa mkeo!!??....
 
Dah wadada was kichaga Mungu anawaona!
Mwaka 2017 nilipata ajira mahala Fulani,nilibahatika kufahamiana na dada mmoja wa kichaga,mzuri mwenyewe kaolewa na mchaga mwenzie wamebarikiwa watoto wawili wa kiume.
Tukawa karibu sana mara kwa mara akinieleza changamoto za mahusiano yake,kero yake kubwa ilikuwa ni mumewe ambaye alikuwa hatimizi majukumu yake ipasavyo ya kumpatia pesa za kutosha na wakati yeye anajua anazo.Yule Dada alinishangaza kwa mdomo wake alinisimulia ameenda kwa mganga kampa mganga laki 5 amuue huyo bwana,mganga akamwambia chagua siku akachagua siku ya jpili,hapo nasimuliwa Ni alhamisi ameenda kusuka nywele zake nzurii,ananiambia kesho naenda karume kununua masweta ya watoto Ilala maana tutasafirisha Moshi ni baridi...Ndugu zangu niliona KIZUNGUZUNGU,nilimuombea huyo mbaba Kama mtoto niliyemzaa jamani nilimugopa yule Dada sana..Basi bwana kufika hiyo jumapili ya ahadi Mjuba kaamka mzimaaa,bidada kapagawa, jumatatu ilivyofika asubuhi mbio mpaka alipofikia huyo mganga anaambiwa kaondoka jumamosi karudi huko kwao Tabora,
Basi kaingia kibaruani Kama saa nne haeleweki anadai mganga kamtapeli..Nilianza kujitoa ukaribu nae taratibuu ,nahisi aligundua Kuna siku nikawa nae akaniambia yaani najuta yule shetani aliyenipitia nimeshatubu...Hapo ndio nilijua true colors za wachagaaa..
Sio kwamba wachaga wapo kama huyo shetani mmoja uliyekutana naye.
Si vizuri kuhukumu jamii kwa ujinga wa watu wachache.
 
Jibu umelitoa karibu na mwisho.

Na ni lazima uki_stablize, wewe utatangulia mbele za haki. Sijui hii huwa ni mapenzi ya Muuumba?

Just joking....hahaaa
Twende mbele turudi nyuma hilo kabila la kichaga litabaki kuwa juu sana hasa kwa wanawake wa kabila hilo, kwanini nasema wachaga wanafaa kuolewa?. Wakuu dada wakichaga wanapiga sana kazi wanajituma hawa viumbe htr, kumkuta dada wa kichaga hajishughulishi ni nadra sana. Mwanaume ukioa hilo kabila jiandae kuwa tajir soon.

Wanawake wa kichaga wanajua kupenda jaman ukimpata aliekupenda utafurahi, hawana tabia za kimalaya kama makabila mengine akitulia katulia otherwise wewe mwanaume uwe hueleweki.

mwanamke wangu ni moja alochangia mpaka nikapanga japo nilikua sina kazi na nilipanga alinipa sana moyo wa kupambana mpaka now niko vizuri.

Nimefanya research yangu nikagundua wanawake wa kichaga ndo wanaongoza kwa kuolewa why?? Wanaume tunatafuta stability kwenye ndoa na sio mbwembwe za 6x6. Tunapenda mwanamke anayejituma, nenda mavyuoni utaona dada anaeuza boxa, bikini, macava ya cm, ubuyu wengi ni wakichaga.

Tukitoa kasoro zote zingine walizonazo ila hawa viumbe wanafaa kuolewa usiangalie sijui magogo, hawako romantic, wachaga watabak kuwa juu sana hasa kwa upande wa kina dada, huo ndo ukweli.

NOTE: Wachaga hawezi kuwa na wewe kama akiona huna future yoyte hawa wanawake huwa wanaweza kuona mbeleni wewe life ako itakuaje. Utamfanyia yote ila atavumilia.
 
Twende mbele turudi nyuma hilo kabila la kichaga litabaki kuwa juu sana hasa kwa wanawake wa kabila hilo, kwanini nasema wachaga wanafaa kuolewa?. Wakuu dada wakichaga wanapiga sana kazi wanajituma hawa viumbe htr, kumkuta dada wa kichaga hajishughulishi ni nadra sana. Mwanaume ukioa hilo kabila jiandae kuwa tajir soon.

Wanawake wa kichaga wanajua kupenda jaman ukimpata aliekupenda utafurahi, hawana tabia za kimalaya kama makabila mengine akitulia katulia otherwise wewe mwanaume uwe hueleweki.

mwanamke wangu ni moja alochangia mpaka nikapanga japo nilikua sina kazi na nilipanga alinipa sana moyo wa kupambana mpaka now niko vizuri.

Nimefanya research yangu nikagundua wanawake wa kichaga ndo wanaongoza kwa kuolewa why?? Wanaume tunatafuta stability kwenye ndoa na sio mbwembwe za 6x6. Tunapenda mwanamke anayejituma, nenda mavyuoni utaona dada anaeuza boxa, bikini, macava ya cm, ubuyu wengi ni wakichaga.

Tukitoa kasoro zote zingine walizonazo ila hawa viumbe wanafaa kuolewa usiangalie sijui magogo, hawako romantic, wachaga watabak kuwa juu sana hasa kwa upande wa kina dada, huo ndo ukweli.

NOTE: Wachaga hawezi kuwa na wewe kama akiona huna future yoyte hawa wanawake huwa wanaweza kuona mbeleni wewe life ako itakuaje. Utamfanyia yote ila atavumilia.
Kwani ni kabila gani wanaongoza kuua waume kama kuna mafanikio katika familia?
 
Twende mbele turudi nyuma hilo kabila la kichaga litabaki kuwa juu sana hasa kwa wanawake wa kabila hilo, kwanini nasema wachaga wanafaa kuolewa?. Wakuu dada wakichaga wanapiga sana kazi wanajituma hawa viumbe htr, kumkuta dada wa kichaga hajishughulishi ni nadra sana. Mwanaume ukioa hilo kabila jiandae kuwa tajir soon.

Wanawake wa kichaga wanajua kupenda jaman ukimpata aliekupenda utafurahi, hawana tabia za kimalaya kama makabila mengine akitulia katulia otherwise wewe mwanaume uwe hueleweki.

mwanamke wangu ni moja alochangia mpaka nikapanga japo nilikua sina kazi na nilipanga alinipa sana moyo wa kupambana mpaka now niko vizuri.

Nimefanya research yangu nikagundua wanawake wa kichaga ndo wanaongoza kwa kuolewa why?? Wanaume tunatafuta stability kwenye ndoa na sio mbwembwe za 6x6. Tunapenda mwanamke anayejituma, nenda mavyuoni utaona dada anaeuza boxa, bikini, macava ya cm, ubuyu wengi ni wakichaga.

Tukitoa kasoro zote zingine walizonazo ila hawa viumbe wanafaa kuolewa usiangalie sijui magogo, hawako romantic, wachaga watabak kuwa juu sana hasa kwa upande wa kina dada, huo ndo ukweli.

NOTE: Wachaga hawezi kuwa na wewe kama akiona huna future yoyte hawa wanawake huwa wanaweza kuona mbeleni wewe life ako itakuaje. Utamfanyia yote ila atavumilia.

ukishakuwa tarjiri ndiyo utawafahamu vizuri -----tutakuzika
 
Inaonekana umetembea sehemu nyingi nchi hii
kuoa mwanamke wa kichaga ni sawa na kujenga nyumba kwenye milki ya balabala. hawafai kbs, labda waoane wenyewe, kabila la 2 ni wajita
 
Back
Top Bottom