Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Ahahaaa umeua kabisaa mkuu 😁
nami namaliza kuwa hawa watu ni namba 9 hawana mvuto kabisa
Tatizo ni

Hawajui mapishi mtoa mada ushawahi ona chapati ya binti wa kichaga ?


Ni magogo kitandani in short hawajitumi


Hawapo romantic kabisa




La mwisho na ambalo ni la umuhimu ni hawana chura
 
Bado miezi 6 tukaulizwe mwaka huu tumewekeza wapi. Hakuna muda wa kupoteza kabisa
Wacha tupambane
Ruwa mama D umenifuraisha kweli thanks kwa reminder. Na haka kaugonjwa kameharibu mipango sijui kama tutafikia malengo tulojiwekea kwa kweli
 
Mimi ndiyo nina kila sababu ya kumshukuru sana Mungu kunipa mke mchaga ya. Maisha yangu na ya ndugu zangu yalibadilika kupitia yeye mama FURAHA wangu. Amenifanya niwe mtu katika jamii, niwe na kipato cha maana kinachotokana na biashara anazosimamia imara kabisa. Na kupitia yeye ndugu zangu na marafiki wote walioa wachagga. Na maisha yao ni babu kubwa. Kwanza ni wavumilivu. Kwa mwanamke wa kichaga kitu talaka huo msamiati hauko kichwani. Yeye ni kupambana na hata kama akiona mume una mapungufu fulani atakazana mpaka umuelewe. Big up my shemejis. I salute and cherish you.
 
Mimi ndiyo nina kila sababu ya kumshukuru sana Mungu kunipa mke mchaga ya. Maisha yangu na ya ndugu zangu yalibadilika kupitia yeye mama FURAHA wangu. Amenifanya niwe mtu katika jamii, niwe na kipato cha maana kinachotokana na biashara anazosimamia imara kabisa. Na kupitia yeye ndugu zangu na marafiki wote walioa wachagga. Na maisha yao ni babu kubwa. Kwanza ni wavumilivu. Kwa mwanamke wa kichaga kitu talaka huo msamiati hauko kichwani. Yeye ni kupambana na hata kama akiona mume una mapungufu fulani atakazana mpaka umuelewe. Big up my shemejis. I salute and cherish you.

Acha wabishe mkuu
 
Back
Top Bottom