Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Champagnee, hii habari ni wewe umeandika au ni huyo mchaga wako? nakupa miaka miwili kuanzia sasa kuna uzi mwingine utakuja nao wenye jina "WANAWAKE WA KICHAGA HAWAFAI"

Kufanya kazi na kujituma ni utamaduni wao, wao wako tayari kutafuta pesa kwa njia yoyote ile kuanzia kudanga, kafara, tambiko, kuiba, kuua Mume, kugeuza mtoto taahira, nk nk.
Wao ndio wanao ongoza kwa kuolewa hapa mjini, na ndio hao hao waliobadirisha takwimu za talaka, Wengi wanaolewa wengi wana achika.
Hawa ndio wanao ongoza kutelekeza familia (mume na watoto), na kwenda kupanga au kuhamia kwake.
Hawa ni wale wanawake aina ya "ALFA FEMALES" -Nenda google tabia zao.

Kifupi hawa watu wana tabia hizi:
Hawashauriki,
Ni katili(wengi sura ni za kigaidi hivi)
Ni watesaji wa hisia,
Wakosoaji, na walalamishi sana,ni watu wa kunung'unika kila kitu,
Ni watu wa kunena mauti zaidi kuliko Baraka,

watu wa kujilinganisha sana na wengine,
Ni washauri wazuri lakini hawaishi kama ushauri wao,
Ni washindani na wapinzani kwenye ndoa,
wanaongoza kwa kumtaja Mungu kila mara lakini ni ukoo mmoja na shetani
Ndugu wa mwanamke ndio waamuzi wa maisha yenu ya ndoa,
upendo ni wa mwisho baada ya pesa (hapa hakuna romance/wanawake baridi),

KAMA UNATAKA KUWA NA NDOA NGUMU.basi endeleeni kuoa huko,

Nmecheki na watu wengine mkuu so successful. Pia wanaolewa sana mzee usicompare na makabila mengine. So kwamba mengine hakuna no ila wachaga tunawapa no1 kwa ujumla. Kwenye proba tunasema kwenye population tunachukua sample N
 
sijajua wanawake wakichaga ndo wanaleta pesa au mmana hii mada tungo tata kwahyo mtoa mada unashawishi watu waoe mwanamke wa kichaga sababu ww wako ni mchaga sio ?sasa nn hapo kuoa mchaga kwasabavu anajua kutafuta pesa au ww mwanaume ndo jukumu lako kutafuta pesa na maendeleo umarioo mbya sana mkuu acha kampeni za kitoto kuwa makabila mengne sio huo ni umama.

Wanafanya u hustlee mzee utoboe,
 
Sio kweli mie ni muhanga wa wanawake wa kichaga. Nilioa ndoa ya kanisani mwaka 2015. Tukahama toka Arusha tukaja Dar. Aisee yule mwanamke alinibadilikia mpaka nikajiuliza hili ni jini au pepo? Kawa mlevi na malaya. Nilichokifanya ni kuondoka kumuacha aendelee na ujinga wake. Sasa hivi yuko hoi kwa ulevi.
 
Dah wadada was kichaga Mungu anawaona!
Mwaka 2017 nilipata ajira mahala Fulani,nilibahatika kufahamiana na dada mmoja wa kichaga,mzuri mwenyewe kaolewa na mchaga mwenzie wamebarikiwa watoto wawili wa kiume.
Tukawa karibu sana mara kwa mara akinieleza changamoto za mahusiano yake,kero yake kubwa ilikuwa ni mumewe ambaye alikuwa hatimizi majukumu yake ipasavyo ya kumpatia pesa za kutosha na wakati yeye anajua anazo.Yule Dada alinishangaza kwa mdomo wake alinisimulia ameenda kwa mganga kampa mganga laki 5 amuue huyo bwana,mganga akamwambia chagua siku akachagua siku ya jpili,hapo nasimuliwa Ni alhamisi ameenda kusuka nywele zake nzurii,ananiambia kesho naenda karume kununua masweta ya watoto Ilala maana tutasafirisha Moshi ni baridi...Ndugu zangu niliona KIZUNGUZUNGU,nilimuombea huyo mbaba Kama mtoto niliyemzaa jamani nilimugopa yule Dada sana..Basi bwana kufika hiyo jumapili ya ahadi Mjuba kaamka mzimaaa,bidada kapagawa, jumatatu ilivyofika asubuhi mbio mpaka alipofikia huyo mganga anaambiwa kaondoka jumamosi karudi huko kwao Tabora,
Basi kaingia kibaruani Kama saa nne haeleweki anadai mganga kamtapeli..Nilianza kujitoa ukaribu nae taratibuu ,nahisi aligundua Kuna siku nikawa nae akaniambia yaani najuta yule shetani aliyenipitia nimeshatubu...Hapo ndio nilijua true colors za wachagaaa..
 
Tatizo ni

Hawajui mapishi mtoa mada ushawahi ona chapati ya binti wa kichaga ?


Ni magogo kitandani in short hawajitumi


Hawapo romantic kabisa




La mwisho na ambalo ni la umuhimu ni hawana chura
Hapa nakupinga kabisa.. nina mchaga wangu hapa anapika balaa! Hata vyakula nilivyokuwa sivipendelei hapo awali, sasa hivi ni my favourites food
 
Huyo atakuwa hajakaa uchagani au kachanganyia sio yule pure


Na kama ni yule pure wazazi wote wachaga basi una bahati ..swali umeona upishi huko kwengine je ?
Hapa nakupinga kabisa.. nina mchaga wangu hapa anapika balaa! Hata vyakula nilivyokuwa sivipendelei hapo awali, sasa hivi ni my favourites food
 
Back
Top Bottom